Artikel Terbaru

Responsive Ads Here

Saturday, November 18, 2017

TAMBUA MAZOEZI YA KUONGEZA UREFU, UNENE WA UUME NA NGUVU ZA KIUME…

Unaweza kua umepata mshtuko kuona makala hii kwasababu niliwahi kuandika makala kupinga watu wanaodai wana dawa za kuongeza unene na urefu wa uume na kuongeza nguvu za kiume kwenye moja ya makala zangu zilizopita, lakini msimamo wangu bado ni ulele kwamba hakuna dawa wala uchawi wa kuongeza maumbile ya uume japokua kuna dawa zakuongeza nguvu za kiume kutoka viwandani na zinafanya kazi hizo za kienyeji siwezi kuziongelea kwani hawa watu hawakubali kushindwa hata dawa ya ukimwi watakwambia ipo…
kuna njia mbili tu za kuongeza uume yaani upasuajiambapo ligament kuu mbili za zinazoshika uume  uume na mfupa wa nyonga hukatwa na na kufanya sehemu ya ndani ya uume {ambayo ni kama sentimita sita kwa ndani} kutoka nje lakini njia hii ni hatari kwani hupona na kuacha makovu, makovu ambayo baadae yatauvuta uume ndani na uonekane mdogo zaidi lakini pia uume hukosa balance na kuchomoka nje na kupinda wakati mwingine.
Njia nyingine ambayo kwa sasa imefanyiwa utafiti duniani na madaktari bingwa wa mambo ya sehemu za siri yaani urologist na sexiologist ni ya kufanyisha mazoezi ligament hizo mpaka ziongezeke urefu na kuongezeka unene bila madhara hata kidogo.
Unaweza kua umeshachanganywa na matangazo mengi ya kwenye mtandao ambayo hujitapa yanaweza kufanya hiyo kazi kwa vidonge au waganga wa ndani ya nchi ambao kila siku wanakula pesa nyingi sana kwa kazi hiyo ya kitapeli ambayo haina ushahidi. Sasa kama na wewe umeshandanganyika sana tulia usome kwa makini ukweli ulipo na mzoezi yanvyofanya kazi.
Unaweza kua ushawahi kuyafanya mazoezi haya lakini hukufanikiwa kwa sababu hukufuata utaratibu hatua kwa hatua kama kitabu kinavyoelekeza.
Je unafanyaje mazoezi haya?
Unaweza ukawa bado unaona ni kitu ambacho hakiwezekani.. lakini ngoja nikwambie kitu kimoja ambacho ulikua hukijui.kama unavyoona misuli ya mtu mwembamba inabeba chuma mpaka inakua inajaa na kua mikubwa. Misuli yote ya mwili wa binadamu ikifanyiwa mazoezi inabadilika ukubwa wake kitaalamu tunaita muscle hypertrophy…mazoezi haya hayahitaji vifaa vyovyote zaidi va viganja vyako.[ hivyo mtu asiyeyaweza labda awe hana viganja au hana uume}
Kuna aina kuu mbili za mazoezi haya..
Mazoezi ya kuongeza urefu wa uume na mazoezi ya kuongeza unene wa uume..
  • Mazoezi ya kuongeza urefu yanahusisha ligament kuu mbili yani fundiform ligament na suspensory ligament kwa kuvuta ligament hizo kitaalamu kama stretching exercises.
  • Mazoezi ya kuongeza unene wa uume ambayo yanahusisha kuongeza damu nyingi kwenye sehemu za uume mpaka sehemu ya ziada iongezeke ili kuhifadhi damu hiyo na ndio unene wenyewe.
tofauti ya mazoezi haya na mengine ya mwili ni nini?
Ukibeba chuma kwa muda Fulani mwili utajaa sana lakini ukiacha mwili unaweza rudia hali yake ya zamani japokua mwili hautaisha kabisa kwani kama wewe ni mwana mazoezi ukimuona mtu aliyewahi kubeba vyuma zamani utamgundua tu kwani ile ramani ya misuli hua haipotei…lakini ukifanya mazoezi haya kuna mishipa midogo midogo sana ya damu itapasuka kuipisha mikubwa na mishipa hiyo mipya haitapotea milele yaani ukubwa utakaopata hautabadilika tena hata ukiacha.
Je mazoezi haya yanafanya kazi kweli?
Hapa ndipo sehemu kuu ya kuzingatia kuliko zote hautaziona hata kidogo. Nasema hivi kwasababu najua naongea na wanaume sasa hivi kwamba sisi wote ni mashahidi yaani ili ubebe vyuma mpaka kifua kionekane lazima moyo wa kwenga gym uwe nao na ninajua wengi wenu mlishaanza gym mkaenda wiki moja mkaacha ila wale wavumilivu ndio mabaunsa mpaka leo. , ukifanya mazoezi haya kwa muda wa miezi mitatu mpaka sita ukiwa na nia ya kweli kutoka moyoni sio kwamba utaongezeka unene tu bali uume utakua na nguvu kama simba na afya tele. Kiufupi hakuna njia ya uhakika na isyo na madhara kama hii, sio kwamba najisifia kwani hata usiponiamini imeshafanyiwa utafiti na ikakubalika kutumika duniani.
Hebu tuangalie historia, ushahidi na utafiti uliofanywa na madaktari wa kwanza kugundua njia hii..
CHARTHAM METHOD
Mwaka 1970 daktari mmoja aliyekua bingwa ya mambo ya afya kujamiina yaani specialist in sexual health aliyekua ameandika vitabu kadhaa kuhusu mambo ya afya ya uzazi kwa wanaume na wanawake aliamua kufanya utafiti kuhakikisha mbinu hii iliyokua inaitwa chartham method kabla watu hawajaanza kuitumia.
Daktari huyu alichukua wanaume 32 na kuwafanyisha mazoezi haya kwa muda wa mwezi mitatu na alibaki mdomo wazi kwani utafiti huu ulikua na mafanikio ya asilimia 87.5% yaani wanaume 28 waliongezeka urefu wa uume kwa sentimita 3.5 na unene wa sentimita 3 wakati nyeti zao zikiwa zimesimama huku wawili wakiacha na wengine wawili kutopata mafanikio. Hiyo ilikua miezi mitatu huenda wangefika mezi sita wangekua zaidi ya hapo.
SYNEXUS AND HARRISON
Miaka michache iliyopita utafiti huu ulirudiwa na synexus and harisson clinical research ukiwahusisha wanaume 50 ambako wanaume wote hamsini nyeti zao ziliongezeka kwa urefu wa sentimita 4.5 na unene wa sentimita 4 kwa miezi mitatu tu, yaani zaidi ya utafiti uliopita kwani huu ulifanikiwa kwa asilimia mia moja.
Mazoezi haya yalifanyika kwa dakika 22, siku tano kwa wiki kwa muda wa miezi mitatu.
UTAFITI WANGU MWENYEWE KAMA DAKTARI WA BINADAMU.
Nilipomaliza chuo cha udaktari mwaka 2013 niliendelea kukutana na mabishano makali na madaktari wenzangu kuhusu hoja hii. Nikaona haina haja ya kuendelea kuumiza kichwa kwani moja ya kazi kubwa ya daktari ni kufanya utafiti hivyo nikajitosa kwenye utafiti huo kama daktari,  hivyo mwaka 2014 kwanzia  mwezi wa kwanza niliamua kufanya utafiti huu kwa kutumia wanaume kumi tu kwa muda wa miezi sita. Haikua kazi rahisi kwani ilibidi wafanye kazi hii kwa gharama zangu kwani ilibidi niwasimamie na wafanye kama navyotaka mimi.
Baada ya miezi sita matokeo yale yalinifanya nikubali mazoezi haya yanafanya kazi japokua kuna watatu waliacha njiani wale saba waliomaliza mpaka mwisho waliongezeka kwa sentimita 4 mpaka 6 urefu kila mtu na unene wa sentimita 4 mpaka  4.5..yaani baada ya utafiti huu wao ndio walionishukuru wakidai kwamba nimeokoa ndoa zao kwani mwanzoni walikua wazito sana kukubali kushiriki.
Baada ya hapo ndipo nilipokaa chini na kuanza kuandaa kitabu hichi kwanzia mwezi wa saba mwaka jana na kukikamilisha mwezi wa tano mwaka huu. Kitabu hichi sio kirefu sana ila kilinitaka akili nyingi na kuandika vitu vyenye ushahidi wa kweli sio kukurupuka tu, kwani unapofanya kitu kinachohusiana na maisha ya binadamu hasa eneo hilo lazima uwe makini sana.
Ni kweli watu wanatofautiana sana kimaumbile yaani kuna wengine wanawahi sana kupata matokeo na wengine wanachelewa kidogo lakini mwisho wa siku hakuna anyeambulia patupu.
TATIZO LA KUTOKUA NA UVUMILIVU..
Mazoezi haya yanatakiwa yafanyike mara tano kwa wiki sio chini ya miezi mitatu kwa kufuata kama nilivyoelekeza, wasomaji wengi hapa wanaona ni kawaida ila huenda wengi wenu mtaacha kabla ya muda huo.
Kupata dakika 20 mpaka 30 za kujifungia sehemu peke yako bila kubugudhiwa inaweza kua ngumu sana labda ufanye usiku sana au asubuhi mapema kabla watu hawajaamka labda kama unaishi peke yako.
Kumbuka katika kila mwanaume aliyefanikiwa kuna wengine walikata tamaa na kuacha ndio maana nilitoa mfano wa kubeba chuma hapo mwanzoni kwani mimi pia ni mshiriki wa mazoezi hayo ya kubeba vyuma yaani lazima uwe na moyo wa chuma.
Mazoezi haya yanawezekana kwani kuna ambao tayari wamefanikiwa kwa mazoezi haya ya kuongeza maumbile, unene wa uume na nguvu za kiume.
CHAKULA
Wakati unafanya mazoezi haya jitahidi kula vyakula vya protini hata mara nne kwa siku kwani ndio mzizi mkuu wa ukuaji wa binadamu  yaani nyama, samaki, karanga,maziwa, korosho,dagaa na kadhalika…
MUDA WA MAZOEZI NA KUONGEZEKA KWA MAUMBILE..
  • Utaona mabadiliko ya nguvu za kiume wiki chache baada ya kuanza mazoezi haya na uume utaonekana mkubwa hata ukiwa umelala.
  • Mwezi wa kwanza tegemea kuongezeka uume kwa sentimita 1.5 na unene wa sentimita 1.5
  • Mwezi wa tatu tegemea kupata  sentimita 4 mpaka 6  za urefu na sentimita  3 mpaka 3.5 za unene.
  • Miezi sita utaongezeka zaidi ya hapo.
  • Urefu huo ni kutokana na data za  asilimia kubwa ya watu waliyoyafanya japokua kuna ambao watawahi zaidi kufanikiwa na wengine kuchelewa kidogo.
MWISHO; kitabu hichi kitauzwa kwa shilingi elfu ishirini na tano tu za kitanzania 25000 tu ambayo italipwa m pesa au tigo pesa kwa namba hizi mbili 0653095635 tigo 0769846183 vodacom kwa  wanaohitaji . Ukishalipa utatuma email yako kwenye namba hizo au nitumie email yako  moja kwa moja kwenye email yangu kalegamyehinyuye@gmail.comafu ntakutumia kitabu kikiwa kwenye mfumo wa soft copy.kama ukihitaji hardcopy unaweza kuja kuchukua ofisini kwangu ukonga madafu kwa walioko dar au ukatumiwa kwa basi kwa wa mikoani.[gharama ya usafiri wa basi ni juu yako kama uko mkoani]
Kumbuka: usipoteze fedha zako kama hauko tayari kufanya mazoezi hayo kwa moyo wote  kwani mimi sio mganga wa kienyeji na utaishia kulaumu kama hauko tayari kujitoa,… pia naamini msemo wa waingereza no pain no gain.
USUACHE KUTOA MAONI YAKO AU KUULIZA SWALI LOLOTE KUHUSIANA NA MADA HII.

DADA ZANGU NI VIZURI KAMA MKIYAFAHAMU HAYA..!

Mwili wako sio Maonesho, kila mwanaume auone.
Mwili wako sio Mdoli kila mwanaume Auchezee.
Mwili wako sio dampo, upokee kila uchafu wa mwanaume.
Mwili wako sio Mali ya umma kila mwanaume akutumie.
Mwili wako sio kiburudisho, kila mwanaume Ajiridhishe.
Mwili wako sio pazia la Sebuleni, kila mwanaume Akufunue.
Mwili wako sio karanga za kutembezwa mtaani kila mwanaume
Akuonje Utamu wako.


Mwili wako ni wa Thamani sana. Mwili wako ndio utu wako.
Ebu Tunza Mwili wako nao Ukutunze. Uheshimu Mwili wako nao Utakuheshimisha.
Si kila mtu wa kuushika Mwili wako. Usitumie Mwili wako kama kitega uchumi, Usitumie Mwili wako kama dhamana ya kupata vile unavyohitaji.
Usitumie Mwili wako kama Njia ya kupata Mume Atakayekuoa. Kama Mungu amepanga Uolewe utaolewa tu
dada yangu hata bila ya kufunua Sketi yako. Muamini Mungu Yeye ndiye aliyeshikilia maisha yako.

Kuna mtu mmoja tu anayestahili kuugusa Mwili wako, kuuona Mwili wako, kuujua Uzuri wako.. Msubiri, Usiwe na Haraka, Mungu atamleta kwako. Endelea Kusubiri.
JITUNZE, JITHAMINI, JIKUBALI NA JIAMINI..!

Mwanamke Akikupenda Utaona Vitu Hivi 10.

Ishara za mwanamke anaekupenda,lakini siyo kwamba ishara hizi zote anaweza kuwanazo msichana mmoja,ila kila mmoja kwa ishara zake
Hatua hizi zinaweza zikakusaidia kumgundua msichana anayekupenda,wasichana wanatofautiana ila wengi wao wana-share ishara tofauti.
1.Mnapoongea:
Sikiliza sauti yake,kama anaona aibu sauti yake itakuwa ya upole/laini.
anaweza akaanza kushika shika nywele zake au kuweka sawa mavazi yake.
Hawezi akakuangalia machoni atakuwa anakuangalia kwa kuibia.
Msichana anayekupenda anakuwa na tabasamu unapoongea naye kama amekuzoea,
ila kama hajakuzoea anapokuona gafla tabasamu hutoweka maana anakuwa na aibu.
2.Anapenda hugs na kukushika:
Unapotembea naye mahali anapenda kushika mkono wako,au unapokutana naye
anaweza kuhug.
3.Ajali za kijitakia
anaweza akaona kitu kidogo tu au mdudu halafu anakurukia,au anakukumbatia.
anaweza akatafuta sababu yoyote ilimradi tu akushike,atajitahidi usigundue
mbinu zake kwa kupotezea “Ooh i’m sorry i didn’t mean it”
4. Anaibia kukuchunguza:
Unapokuwa umetulia zako unakuta anakuangalia kwa kuibia,ukigeuka anajifanya yuko busy na mambo
yake kumbe anakuchunguza taratibu
5. Wangalie marafiki zake.
Anapokuwa na marafiki zake akikuona anaweza akajitenga,hata kama mmeenda out pamoja na marafiki
zake utakuta yupo karibu na wewe,akiwa na marafiki zake halafu mkakutana gafla atakufuata halafu
waangalie marafiki zake utakuta kama wanateta,ukiona hali hiyo kuna siri yao yeye na marafiki zake
kuhusu wewe.
6. Anapenda umjali.
Anapokuwa na tatizo au anajisikia vibaya lazima akuambie,mfano mmeenda mahali kukawa na baridi
hata kama si baridi sana atasema anahisi baridi ili mradi umsaidie koti lako,hata kama kuna watu
hawezi kuona aibu kuvaa badala yake atajisikia vizuri anapovaa koti lako.
7. Hawezi kuzuia tabasamu.
Unapomwonyeshea tabasamu lazima na yeye akuonyeshee,hata kama kuna kitu kimemwudhi
atakuonyeshea tabasamu ili mradi aonyeshe umemkuta katika hali ya furaha.
8. Ishara za mwili.
Anapopita mbele yako anaweza akafanya madoido mengi ambayo yatakuvutia ila kama anajiamini.
kama hajiamini anapokuona gafla anakosa amani,utamwona anashtuka gafla.
9. Anafurahishwa na vituko vyako.
Huwezi ukamboa,hata kama ukifanya kituko ambayo haichekeshi utakuta anafurahia.
10.Anakujali:
Anakuwa anakujali,mfano akiona umeumia labda umejigonga,yupo radhi akuhudumie.
unapokuwa naye anaweza kuuliza…”unahitaji chochote?….unaweza ukasema “nina kiu ngoja ninunue maji”
utamsikia “nina maji,kunywa haya yangu kwanza”.basi ujue kwamba anakujali

Njia 5 za Kudumisha Mahusiano ya Mapenzi



Kuna nukuu inayosema “Uhusiano mzuri hautokei tu peke yake bali huchukua muda, uvumilivu, na watu wawili ambao kikweli wanataka kuwa pamoja.”
Japo inasemwa kuwa mapenzi hayana njia moja ya kufuatwa lakini kuna vitu ambavyo vinajulikana kuchangia katika kuboresha mahusiano baina ya wapenzi.
Mahusiano ya mapenzi yenye kudumu ni sharti yapandwe katika udongo wenye rutuba kama ulivyo mmea,yatahitaji maji ya kumwagilia na mbolea ya kukuzia.  Na zaidi ya yote yanahitaji muda wa kukua kabla matunda kuonekana.
Pia Soma:
Hatua 5 za Uhusiano wa Mapenzi: Wewe upo Katika Hatua Ipi?Sababu Kuu 10 za Ugomvi kati ya Mke na Mme Katika MahusianoManeno Mabaya 10 ya Kutosema Kwa Mwenza WakoUaminifu
Kumwamini mwenza wako ni jambo la msingi sana katika kudumisha mahusiano. Usimshuku mpenzi wako kuwa si muaminifu bila ushahidi wowote.
Kushukiwa kukosa uaminifu pasipo ukweli inasononesha sana na kumkosesha raha mpenzi wako.
Imesemwa na wanafalsafa wa mawazo ya binadamu kuwa “
Unachofikiri na kuamini kinatokea”
 hivyo unashauriwa kutofikiri vibaya juu ya mpenzi wako kwani haileti afya katika mahusiano.
Hali kadhalika na wewe uwe mwaminifu na mwenye kusema kweli mara zote. Ongeeni juu ya mipango na mawazo yenu bila kufichana.
Watambulishe kwa mpenzi wako ndugu ,jamaa na marafiki wakaribu ili kumpa mwenza wako amani.
Weka muda kwajili ya Mwenza wako
Mahusiano mazuri kati ya wapenzi yanahitaji muda wa wapenzi hao kukaa pamoja. Wapenzi wasio na muda wa kukaa wana hatari ya kupoteza mvuto wa mahusiano yao na hivyo kuhatarisha uhai wa mapenzi kati yao.
Kama wapenzi wapo mbali mbali basi wanahitaji kuweka muda wa kuongea kila inapowezekana.
Tafuta muda wa kutoka pamoja,hata kama mtaenda mkahawani kunywa chai au juisi tu,inatosha sana na inawaweka karibu zaidi.
Mawasiliano
Mawasiliano ni muhimu sana baina ya wapenzi.
Hata kama umebanwa na kazi pata dakika chache za kuongea na mpezi wako na kumtaka hali. Andika hata ujumbe wa maneno au barua pepe. Mwambie mpenzi wako ulipo kila mara inapobidi ili kumjengea imani na wewe na kumpa amani moyoni. Tuma ramani ya mahali ulipo kama unatumia simu ya “Smart” (Tuma location kwenye whatsapp)
Mawasiliano ni ufunguo wa kudumisha upendo.
Wakati kuwasiliana na mpendwa wako, kumbuka kwamba upendo ni muhimu. Ongea toka moyoni na si kwa ajili ya kutimiza wajibu tu,kwani mpezi wako atajua tu kama hakuna mahaba katika mawasiliano yenu hivyo kutoleta faida ile inayotegemewa.
Mawasiliano mengine ni yale ya kuelezana yaliyo moyoni. Mweleze mwenza wako linalokusibu ili kupata ufumbuzi wa pamoja. Wapenzi wanaoongea kwa utulivu siku zote watakuwa pamoja.
Zawadi
Tafuta kitu cha kumpa mpenzi wako. Si lazima kiwe na thamani kubwa.Inaweza ikawa pipi au matunda tu.
Mnunulie zawadi kila inapowezekana hasa unaposafiri au katika siku yake ya kuzaliwa.
Onyesha Upendo Wako
Kila mtu anajinsi yake tofauti ya kuonyesha upendo, lakini vyovyote itavyokuwa ni jambo la muhimu sana kuonyesha hisia zako kwa mpenzi wako.
Mara nyingi wapenzi wa muda mrefu wanasahau juu ya hili.
Maneno kama “Nakupenda”au majina ya mahaba kama “Mpenzi” au ”La-azizi” yanachangia sana kuonyesha mapenzi na kumfanya mwenza wako kujisikia vizuri.
Maneno haya yanaposemwa kwa hisia halisi na toka moyoni yana mchango mkubwa katika kuboresha mahusiano

Kanuni Kumi ’10’ za Kuwa Mke Mwema




UHALISI WA MAISHA:
Maisha halisi ya mwanamke anayetarajia kuwa mke/ mke tayari hii ni kumaanisha kuwa wanawake mashujaa tunapaswa kuishi maisha ambayo yanatutambulisha kama mfano wa kuigwa ili tunapozungumza na kufundisha mabadiliko tuwe tunazungumza uhalisia wa maisha yetu ambao unajengwa na haya yafuatayo;
UVUMILIVU:
Kuwa mvumilivu katika maisha yake ya kila siku hasa ukizingatia kuwa tunakutana na mambo mbali mbali yasiyotuvutia katika mahusiano yetu, mengine ni magumu na yanayokwenda kinyume kabisa na matakwa yetu au mazoea yetu ya binafsi. Ifahamike kwamba wewe kama mwanamke shujaa inapotokea umekutana na mambo kama haya hupaswi kuonyesha hasira zako wazi wazi kama vile; chuki, kulaumu, ugomvi, vurugu, malalamiko, manung’uniko, machafuko, kulipa kisasi au aina yoyote ya uharibifu kutokea kwako au ndani mwako. Hivyo mwanamke shujaa huwa ni heri kila anapokuwa kwani hutunza amani ya eneo alipo.

UPENDO WA DHATI:

Maisha ya upendo wa halisi na sio wa kinafki kwa jamii inayomzunguka. Tabia ya upendo wa halisi ina thamani kubwa sana kuliko mali nyingi, pesa, elimu ya juu n.k. wewe unaweza kabisa kuwa na elimu ya juu sana na pesa nyingi sana lakini pasipo upendo wa halisi ni sawa na kusema kopo zuri kwa nje na ndani hamna kitu. Nguzo kuu ya maisha ya mwanamke shujaa ni Upendo wa dhati na uhalisia.


UTII KWA KWA JAMII:

Maisha halisi ya utii katika jamii inayokuzunguka ili kuweza kuyafanyia kazi yale yote uliyojifunza na pia kuyatenda kwa ufasaha pasipo kupita kona yoyote. Utii kwa jamii ni ufunguo mmoja wapo utakaokusaidia kufanikisha mambo yako na malengo yako kama mwanamke shujaa.

UAMINIFU KATIKA JAMII:

Kuishi maisha ya uaminifu wa kweli na uhalisia katika jamii inayomzunguka. Uaminifu wa kweli huonekana nyakati zote na siyo tu wakati mtu anapokuwa mbele za watu wanaomjua bali hata wale wasiomjua na hata anapokuwa mahali peke yake aweze kutunza uaminifu wake kwa faida ya jamii nzima. Mwanamke shujaa hujitahidi sana kutunza uaminifu wake katika sekta zote.

UNYENYEKEVU WA KWELI:

Kuishi maisha halisi kabisa ya unyenyekevu kwa jamii inayomzunguka, unyenyekevu ni kinyume kabisa na kiburi, majivuno, kujigamba, kujikweza, kujiinua, kujiona,na hata kjitanguliza mbele kwa kila jambo. Mwanamke shujaa huwa ni mnyenyekevu wakati wote na hana makuu daima.


UWAJIBIKAJI WA DHATI:
Maisha halisi ya uwajibikaji akiangalia majukumu yake yote yanayomkabili na kuhakikisha anafanya kwa moyo bila kuwa na tabia ya kusaidiwa majukumu yake. Mwanamke shujaa ni mfano wa kuigwa kutokana na uwajibikaji wake.

USHIRIKIANO WA DHATI:

Ushirikiano katika jamii inayomzunguka. Sisi wanawake mashujaa yatupasa kujua dhahiri kuwa kazi ya kubadili tabia na kufanya wengine wabadilike kwa lengo la kupata familia bora ni lazima kuwa na ushirikiano wa kweli ambao utajenga tabia ya kuaminiana na kunai mamoja katika harakati hizi za kuandaa/ kujenga familia bora.

UTARATIBU WA KAZI/MPANGILIO
:
Katika utaratibu wa maisha yake, pamoja na mpangilio mzuri wa mambo yanayomzunguka hii itakusaidia kuwa na muda mzuri wa kufanya shughuli zako na pia kutekeleza majukumu yako ya kila siku kama mwanamke shujaa. Hakuna njia yoyote ya kukuwezesha kukua na kuendelea katika maisha yako bila kuwa na utaratibu na mpangilio wa mambo yako.


KUFANYA TATHIMINI:
Kuweza kufanya tathimini ya yale yote anayoyafanya katika maisha yake ya kila siku, pengine ni mfanyabiashara, mfanyakazi, mkulima n.k kama mwanamke shujaa yakupasa kutathimini shughuli zako kama zina leta faida/hasara kwa familia na jamii yako inayokuzunguka. Ukiona faida ni kubwa unaendelea na hiyo shughuli lakini kama hasara ni kubwa unajiweka katika nafasi ya kubadilisha aina ya shughuli mara moja bila kupoteza wakati

Siri 6 za wanawake ambazo kamwe hawawezi kukuambia. Zisome hapa

Wanaume wengi hupenda kujua wao ni wangapi kuwa na mwanamke Fulani. Lakini mwanamke kamwe hawezi akakwambia wewe ni wa ngapi. Kumuuliza jambo hili kunamkera sana mwanamke na ndio maana mara nyingi hawezi akakwambia ukweli.
2. Anakulinganisha na mpenzi wa zamani
Mwanamke mara nyingi anakulinganisha na mpenzi wake wa zamani japokuwa hawezi kukwambia waziwazi. Wakati mwingine tabia hii huwafanya wanawake kuwatamani wapenzi wa zamani na hata kurudiana nao endapo watakosa mtu aliye bora kuliko mpenzi wake wa zamani.
3. Kasoro zako
Mwanamke kamwe hawezi kukwambia kasoro zako. Wanawake wanajua kumfichiaa mpenzi wao mambo wasiyotaka yajulikane kwa wengine na kwa mpenzi wake. Wanajua njia za kiujanja za kutumia ili kufichua siri zako zote. Mwanamke hawezi kukwambia kasoro zako kwa kuogopa kukuumiza.

4. Mapungufu yake

Mwanamke hawezi kukwambia mapungufu yake labda kwa kuhofia kusheshwa thamani. Wanawake ni wasiri sana kwa mapungufu yao. Wanajua vyema hofu zinazomuandamana, vitu vinavyowakosesha usingizi na mambo yanayowalemea maishani japo sio rahisi kuonyesha. Kwa nje anaweza akaonekana yuko vizuri na hana tatizo kumbe ndani ana matatizo au mapungufu. Anaweza kufanya yote kufunika upungufu wake!
5. Huwa unampagawisha mpaka anakosa la kusema
Hili halisemi kabisa mwanawake kwa sababu anaona haya kutumia maneno ya wazi kueleza raha unayompa. Maneno ya kuzuzua ni himaya ya wanaume, lakini wakati mwingine wapo wasioweza kuficha.

6. Haumridhishi katika tendo la ndoa

Wanawake wengi hawapendi kusema kama hawaridhiki Kwenye tendo la ndoa. Wanawake wanahitaji kuandaliwa vilivyo kwa dakika 10, 20 ama nusu saa. Mara nyingine wanaume huwahi kabla mwanamke hajawa tayari na hivyo kushindwa kuridhika lakini hawezi kusema.

Aina za wanaume ambao wanawake wanawataka



Kuna wakati nilijaribu kuwauliza wanawake kadhaa walioolewa kama wamefanikiwa katika ndoa kupata aina ya wanaume waliokuwa wametarajia. Wengi walikuwa wanasita kunipatia jibu la moja kwa moja kama ndiyo au hapana.
Lakini nilipowauliza kama kuna tofauti kati ya hisia za wanaume wa zamani kwa wanawake na za wanaume wa leo zaidi ya nusu walikiri kuwa kuna mabadiliko chanya.
Kila ninapoandika kuhusu mahusiano katika ndoa kati ya mume na mke huwa nakumbuka kisa cha Rais mmoja wa nchi ya Kiafrika aliyeandaliwa karamu na Malkia Elizabeth wa Uingereza alipoitembelea nchi hiyo.
Rais huyo aliyekuwa amefuatana na mkewe alipoingia katika ukumbi ulioandaliwa karamu alishangazwa na idadi kubwa ya vyombo vya kutumia kwa kulia chakula vilivyokuwa vimepangwa mezani kwa ajili ya kila mtu.
Kwa bahati yeye aliwahi kuishi Uingereza kwa miaka kadhaa alipokuwa masomoni, lakini alikuwa na wasiwasi kuwa huenda mkewe hatajua namna sahihi ya kukitumia kila chombo; hasa kwa sababu vilikuwa vya aina nyingi kuliko vile ambavyo huwa wakiandalia wageni katika Ikulu ya nchini kwao.
Alichanganyikiwa zaidi alipogundua kuwa mkewe hakupangwa karibu naye ili walau awe akimsaidia kwa kumwelekeza kwa ishara. Alihangaika katika nafsi yake afanye nini ili kumuepusha mkewe na fedheha.
Hata hivyo, baada ya hotuba za makaribisho kabla hawajaanza kula alimweleza malkia kuwa wao wana desturi ya kimila ambayo huwa hawathubutu kuivunja. Lazima waombe kwa lugha yao ndipo yeye na wenzake waweze kula. Aliporuhusiwa akijifanya kama anaomba dua, lakini alikuwa akimwelekeza mkewe jinsi ya kutumia baadhi ya vyombo vilivyoandaliwa pale mezani ambavyo alihisi alikuwa hajawahi kuvitumia. Kila alipokuwa akikamilisha sentensi ukumbi wote uliungana na wageni katika kuitikia Amina.

MUHIMU. Kanuni Kumi ’10’ za kuwa Mke Mwema
Baada ya karamu wageni walipokuwa peke yao walimpongeza rais wao kwa ujasiri aliouonyesha kwa ajili ya heshima ya mkewe. Mmoja katika viongozi wa kike aliyekuwa katika msafara akasema: “Hiki kilichotokea ni dalili kuwa sasa yule aina ya mwanaume ambaye sisi wanawake tulimtarajia kwa muda mrefu ameanza kutokea.” Wanume wakacheka sana kwa mzaha ule. Labda nianze makala yangu hii kwa kuanzia na usemi wa yule kiongozi wa kike aliyekuwa katika msafara huo. Kufuatia harakati za wanawake za miaka mingi kugombea haki sawa, mwanaume wa kisasa amebadilika kwa kiasi kikubwa.
Hivi leo mwanaume amekuwa mwenye hisia ya upendo, mtunzaji, mwelewa na mwenye kumjali mwenzi wake katika ndoa kwa kiasi ambacho hata wanawake hawakuwahi kufikiria.
Wanaume wengi siku hizi wanapowafikiria wenzi wao katika ndoa wanahoji usahihi wa fikira walizokuwa nazo mababu zetu kuhusu hadhi ya mwanamke katika jamii na falsafa iliyotumika katika kumuenzi zaidi mtoto wa kiume na kumuweka nyuma wa kike. Siku moja nilipokuwa nikisikiliza mazungumzo ya wanaume wanaotoka kwenye makabila yaliyokuwa yakiongoza katika mila za kuwaweka wanawake nyuma, niliamini kuwa sasa wanaume wamebadilika. Walisema: “Sisi wanaume wa siku hizi tunakabiliwa na shinikizo la hoja za usawa wa kijinsia ambalo ingawa linapingana na mila zetu hatuna budi kupima kama zina mashiko katika maisha ya sasa ambayo ni tofauti sana na yale ya zamani.”
Walikiri kuwa katika ulimwengu wa sasa ambapo mume na mwanamke wanafanya kazi, ni lazima mwanaume awe tofauti na babu zetu. Ingawa bado mwanaume anastahili kuwa na mamlaka katika kaya, lakini mamlaka hayo hayastahili kuwa na mwelekeo wa kumnyanyasa mwenzi wake katika kuijenga familia yao. Aidha, ni kweli kuwa mwanaume anapaswa kufanya juhudi kubwa ili kupata ufanisi mkubwa katika kazi kwa manufaa ya familia, lakini ni lazima ahakikishe anapata muda wa kuwa na familia yake na kuijali kwa kila hali.
Mwanamke wa leo anawajibika kujijengea siyo tu uwezo wa kuilea familia yake, bali pia kujenga haiba na hadhi yake katika jamii na kupanda ngazi za juu katika kazi yake na pengine hata juu kuliko wanaume.
Mwanamume akumbuke kuwa licha ya kumsaidia mkewe katika shughuli za familia, yeye ndiye mwenye jukumu la kumsaidia kufanikisha ndoto zake za kutukuka katika jamii na katika kazi yake. Wanawake wamekuwa wakitekeleza jukumu hili kwa waume zao kwa miaka mingi. Hata kuna methali ya kiingereza isemayo “The road to success if full of women pushing their husbands in wheelbarrows” Yaani njia ya kuelekea kwenye ufanisi imejaa wanawake wanaowasukuma waume zao katika matoroli.”
Kitendo alichofanya Rais wa Marekani anayemalizia kipindi chake cha utawala, Barack Obama ni ushuhuda tosha wa methali hii ya kiingereza niliyoitaja. Katika hotuba yake ya kuwaaga Wamarekani iliyorushwa kwa televisheni kote ulimwenguni alimshukuru mkewe, Michelle Obama kwa msaada aliompatia katika kuliongoza taifa la Marekani kwa kipindi cha miaka minane. Alipokuwa akitamka hizo shukrani alimtazama mkewe na akatokwa na machozi na kuchukua kitambaa mfukoni kujifuta.
Wanaume wa kisasa, kama alivyo Obama wamejifunza kuwa mwanamke wa leo sio tena yule wa zamani ambaye alifikiriwa kama mama wa nyumbani tu asiye na mchango wowote katika maendeleo ya ulimwengu huu yanayokwenda kwa mwendo wa kasi hata kuliko saa.
Aidha, ninapokaribia mwisho wa makala hii naona sina budi kuwaasa wanawake kuwa kwa kiwango kikubwa wanaume wa kisasa walio wa kweli wamebadilisha hisia zao kuhusu nafasi ya mwanamke katika jamii. Vilevile wapo walio katika hatua mbalimbali za kuekea kwenye mageuzi yanayotarajiwa.

Sababu nne zinazofanya wanawake wengi warembo wasiolewe




WANAWAKE Wengi huwa na tabia za kuudhi hali ambayo huwafukuza wanaume walio na uwezo wa kuwaoa

Umewahi kushangaa sababu za wanawake warembo zaidi kutoolewa? Kuna sababu tano ambazo huwafanya wanawake warembo kusalia wapweke.


1. Tabia mbaya
.
Wanawake kama hao huwa na tabia mbaya na kuhatarisha nafasi yao ya kupata mume. Wanaume wengi huwa hawapendezwi na tabia za aina hiyo hata mwanamke awe mrembo kiasi gani.
Baadhi ya wanawake hao huwa na maringo sana, eti hawawezi kuosha nyumba kwa kuogopa kucha zao zisikatike. Wengine hawaju kupika na hawawezi kulea watoto kwa kuogopa kuchafuka.

2. Ghali kuwatunza
.
Wanawake warembo huwa ghali kuwatunza kwa sababu huwa na dhana kuwa wanafaa kupelekwa katika hoteli kubwa kubwa na maeneo yaliyo na bidhaa ghali. Huwa hawalegezi msimamo hasa kuhusu mahitaji yao na wanakotaka kwenda kununua bidhaa.
3. Wabinafsi na wenye chuki.
Wanawake wa aina hiyo hufikiria dunia ni yao na kwamba wanafaa kuabudiwa na kila mwanamume. Wanaume wengi hupenda kuhusiana na wanawake wa aina hiyo, ambao huwadharau kutokana na kuwa “wanapendwa” na wanaume wengi.
Wasichojua ni kuwa wanaume huwatumia tu na kuwaacha kutokana na tabia zao ili kutafuta mwanamke mzuri wa kuoa.

4. Hawataki kuwa wazazi
.
Wanawake hao hupenda kusalia wakiwa wa kupendeza, hivyo huwa wanaogopa kuzaa wasipate mikunjo, wasinenepe au kuwa na matiti kulegea. Kwa kawaida, hakuna mwanamume anayependa kuoa mwanamke ambaye hawezi kumzalia, hasa kwa sababu ya utamaduni wa Kiafrika.
Kama una sifa za aina hiyo, huenda ni wakati wako kubadilika ikiwa unataka kupata mume

Wanawake: Tumieni njia hizi kuwaridhisha waume zenu.



Mtaalam wa mapenzi, Bi. Layla Quinn, anasema wamaume ni viumbe rahisi sana kuridhishwa tunapokuja katika suala la unyumba. 
Mwanzoni, kitu kinachomhamasisha mwanaume kujamiiana ni muonekano wako (mwanamke) tu wakimahaba, lakini kadri siku zinavyokwenda ndani ya mahusiano, inakuwa ngumu kupandisha munkari wake, hata kama wewe ni mwanamke mrembo barabara!


Bi. Layla
anaendelea kusema kuwa, kumridhisha mwanaume wako kitandani inaweza ikawa rahisi kama tu utakumbuka kuweka mambo katika hali ya mvuto ( Remember to keep things intereting!). Tafuta namna ya kuleta hamasa, iliyokuwepo siku za mwanzo mwanzo, na kwa hakika utakamata usukani. Sasa swali linakuja…..Nini unatakiwa kufanya, ili kumridhisha mwanaume wako kitandani? Kujibu swali hilo, Bi. Layla amekuja na sheria 10 zifuatazo, ambazo kama zitazingatiwa kwa makini, basi mwanamke hatokuwa na shida ya kumridhisha mwanaume wake kitandani na nyanja nyingine muhimu za mahaba.

MUHIMU. Njia 5 za kudumisha Mahusiano ya Mapenzi
1. Vaa vizuri.
Utamu wa kujamiiana unaweza ukawa kwenye tendo lenyewe, lakini matamanio ya kufanya tendo hilo, yanategemeana na mambo mengine mengi. Vaa vizuri wakati wa kulala wakati wote, na sio tu wakati wa usiku, ambao unataka kufanya mapenzi. Vaa nguo nyororo, yenye mtelezo unaomwagika mwilini. Kwa vazi hili na mtembeo wa kimahaba chumbani, mwanaume wako hatotaka kutoa mikono yake mwilini mwako.

2. Usiwe mtu wa aibu aibu linapokuja suala la kujamiiana.
Mwaume anaweza akakupenda kwa mapozi yako na aibu kwanza (lugha iliyotumika hapa ni “innocence”), lakini hamna mwanaume atakaye endelea kuvumilia mwanamke, ambaye anastushwa kirahisi na kila kitu (mitindo ya kujamiiana), isipokuwa mtindo wa kifudi fudi, maarufu kama “Kifo cha Mende”. Wanaume wanapenda wanawake, ambao ni wataalam kitandani. Wanaume wanapenda wanawake, ambao wanajiamini na wanabuni manjonjo mbalimbali wakati wa shughuli. Kama unataka kumridhisha mwanaume wako kitandani, basi soma mbinu mbalimbali, ambazo zinatumiwa na wapenzi mbalimbali.

3. Fanya mazoezi na onekana Bomba.

Wanaume ni watu wakujali sana muonekano wa mwanamke. Kwahiyo, sio lazima kuonekana kama walimbwende wa vichupi, lakini mtazamo wa karibu na hapo, utakuongezea mvuto zaidi kitandani. Ndio, mwanaume wako “anakupenda kama ulivyo” na tila lila nyingiiiii…..lakini lazima tuukabili ukweli kwamba watu wenye kufanya mazoezi wanaonekana na mvuto zaidi, hakuna kupinga hilo. Hata kwetu Bongo katika nyakati hizi za utandawazi, wakina kaka wengi wanawaona wanawake kama wakina Naomi Campbell na Jennifer Lopez, ambao wanatamani kuwa nao. Lakini hauhitaji kuwa kama wakina Naomi na Jennifer kumridhisha mwanaume wako, bali hakikisha tu upo katika umbo zuri la kumpelekesha kirahisi kitandani, Basi!
4. Kuwa Mchokozi.
Hapa haimaanishi ule uchokozi wa kuleta ugomvi, lahasha! Bali, ni ule uchokozi, ambao kwa lugha ya kingereza unafahamika kama “Tease”, kwa maana hiyo basi tunasema “Tease him”. Cheza nae michezo mbalimbali na burudika nae ipasavyo, na michezo isiwe ya kitandani tu, kama karata na kadhalika, bali michezo ya hata nje ya kitanda kama kukimbia na kucheza kidali po! Kama unataka kuwa mjuzi kitandani, basi unatakiwa umfanye mwanaume wako akutake wakati wote na popote pia. Kujamiiana sio kitasa ambazo unawasha na kuzima mnapokuwa chumbani tu. Mchokoze chokoze wakati mnasakata muziki jukwaani, na mchokoze chokoze (katika mitindo ya kimahaba, bila kuvuka mipaka) wakati yupo na marafiki zake.
5. Jiamini na Jipende.
Ndio, utaonekana vizuri zaidi ukipunguza maunene, lakini hiyo haimaanishi kwamba haupo bomba. Hakuna kinacho kera wanaume, kama mwanamke, ambae anauonea aibu mwili wake mwenyewe wakati anafanya mapenzi. Jiamini kuhusu mwili wako wakati upo mtupu, na jaribu mambo mbalimbali na mwanaume wako

TAMBUA MAZOEZI YA KUONGEZA UREFU, UNENE WA UUME NA NGUVU ZA KIUME…

Unaweza kua umepata mshtuko kuona makala hii kwasababu niliwahi kuandika makala kupinga watu wanaodai wana dawa za kuongeza unene na urefu wa uume na kuongeza nguvu za kiume kwenye moja ya makala zangu zilizopita, lakini msimamo wangu bado ni ulele kwamba hakuna dawa wala uchawi wa kuongeza maumbile ya uume japokua kuna dawa zakuongeza nguvu za kiume kutoka viwandani na zinafanya kazi hizo za kienyeji siwezi kuziongelea kwani hawa watu hawakubali kushindwa hata dawa ya ukimwi watakwambia ipo…
kuna njia mbili tu za kuongeza uume yaani upasuajiambapo ligament kuu mbili za zinazoshika uume  uume na mfupa wa nyonga hukatwa na na kufanya sehemu ya ndani ya uume {ambayo ni kama sentimita sita kwa ndani} kutoka nje lakini njia hii ni hatari kwani hupona na kuacha makovu, makovu ambayo baadae yatauvuta uume ndani na uonekane mdogo zaidi lakini pia uume hukosa balance na kuchomoka nje na kupinda wakati mwingine.
Njia nyingine ambayo kwa sasa imefanyiwa utafiti duniani na madaktari bingwa wa mambo ya sehemu za siri yaani urologist na sexiologist ni ya kufanyisha mazoezi ligament hizo mpaka ziongezeke urefu na kuongezeka unene bila madhara hata kidogo.
Unaweza kua umeshachanganywa na matangazo mengi ya kwenye mtandao ambayo hujitapa yanaweza kufanya hiyo kazi kwa vidonge au waganga wa ndani ya nchi ambao kila siku wanakula pesa nyingi sana kwa kazi hiyo ya kitapeli ambayo haina ushahidi. Sasa kama na wewe umeshandanganyika sana tulia usome kwa makini ukweli ulipo na mzoezi yanvyofanya kazi.
Unaweza kua ushawahi kuyafanya mazoezi haya lakini hukufanikiwa kwa sababu hukufuata utaratibu hatua kwa hatua kama kitabu kinavyoelekeza.
Je unafanyaje mazoezi haya?
Unaweza ukawa bado unaona ni kitu ambacho hakiwezekani.. lakini ngoja nikwambie kitu kimoja ambacho ulikua hukijui.kama unavyoona misuli ya mtu mwembamba inabeba chuma mpaka inakua inajaa na kua mikubwa. Misuli yote ya mwili wa binadamu ikifanyiwa mazoezi inabadilika ukubwa wake kitaalamu tunaita muscle hypertrophy…mazoezi haya hayahitaji vifaa vyovyote zaidi va viganja vyako.[ hivyo mtu asiyeyaweza labda awe hana viganja au hana uume}
Kuna aina kuu mbili za mazoezi haya..
Mazoezi ya kuongeza urefu wa uume na mazoezi ya kuongeza unene wa uume..
  • Mazoezi ya kuongeza urefu yanahusisha ligament kuu mbili yani fundiform ligament na suspensory ligament kwa kuvuta ligament hizo kitaalamu kama stretching exercises.
  • Mazoezi ya kuongeza unene wa uume ambayo yanahusisha kuongeza damu nyingi kwenye sehemu za uume mpaka sehemu ya ziada iongezeke ili kuhifadhi damu hiyo na ndio unene wenyewe.
tofauti ya mazoezi haya na mengine ya mwili ni nini?
Ukibeba chuma kwa muda Fulani mwili utajaa sana lakini ukiacha mwili unaweza rudia hali yake ya zamani japokua mwili hautaisha kabisa kwani kama wewe ni mwana mazoezi ukimuona mtu aliyewahi kubeba vyuma zamani utamgundua tu kwani ile ramani ya misuli hua haipotei…lakini ukifanya mazoezi haya kuna mishipa midogo midogo sana ya damu itapasuka kuipisha mikubwa na mishipa hiyo mipya haitapotea milele yaani ukubwa utakaopata hautabadilika tena hata ukiacha.
Je mazoezi haya yanafanya kazi kweli?
Hapa ndipo sehemu kuu ya kuzingatia kuliko zote hautaziona hata kidogo. Nasema hivi kwasababu najua naongea na wanaume sasa hivi kwamba sisi wote ni mashahidi yaani ili ubebe vyuma mpaka kifua kionekane lazima moyo wa kwenga gym uwe nao na ninajua wengi wenu mlishaanza gym mkaenda wiki moja mkaacha ila wale wavumilivu ndio mabaunsa mpaka leo. , ukifanya mazoezi haya kwa muda wa miezi mitatu mpaka sita ukiwa na nia ya kweli kutoka moyoni sio kwamba utaongezeka unene tu bali uume utakua na nguvu kama simba na afya tele. Kiufupi hakuna njia ya uhakika na isyo na madhara kama hii, sio kwamba najisifia kwani hata usiponiamini imeshafanyiwa utafiti na ikakubalika kutumika duniani.
Hebu tuangalie historia, ushahidi na utafiti uliofanywa na madaktari wa kwanza kugundua njia hii..
CHARTHAM METHOD
Mwaka 1970 daktari mmoja aliyekua bingwa ya mambo ya afya kujamiina yaani specialist in sexual health aliyekua ameandika vitabu kadhaa kuhusu mambo ya afya ya uzazi kwa wanaume na wanawake aliamua kufanya utafiti kuhakikisha mbinu hii iliyokua inaitwa chartham method kabla watu hawajaanza kuitumia.
Daktari huyu alichukua wanaume 32 na kuwafanyisha mazoezi haya kwa muda wa mwezi mitatu na alibaki mdomo wazi kwani utafiti huu ulikua na mafanikio ya asilimia 87.5% yaani wanaume 28 waliongezeka urefu wa uume kwa sentimita 3.5 na unene wa sentimita 3 wakati nyeti zao zikiwa zimesimama huku wawili wakiacha na wengine wawili kutopata mafanikio. Hiyo ilikua miezi mitatu huenda wangefika mezi sita wangekua zaidi ya hapo.
SYNEXUS AND HARRISON
Miaka michache iliyopita utafiti huu ulirudiwa na synexus and harisson clinical research ukiwahusisha wanaume 50 ambako wanaume wote hamsini nyeti zao ziliongezeka kwa urefu wa sentimita 4.5 na unene wa sentimita 4 kwa miezi mitatu tu, yaani zaidi ya utafiti uliopita kwani huu ulifanikiwa kwa asilimia mia moja.
Mazoezi haya yalifanyika kwa dakika 22, siku tano kwa wiki kwa muda wa miezi mitatu.
UTAFITI WANGU MWENYEWE KAMA DAKTARI WA BINADAMU.
Nilipomaliza chuo cha udaktari mwaka 2013 niliendelea kukutana na mabishano makali na madaktari wenzangu kuhusu hoja hii. Nikaona haina haja ya kuendelea kuumiza kichwa kwani moja ya kazi kubwa ya daktari ni kufanya utafiti hivyo nikajitosa kwenye utafiti huo kama daktari,  hivyo mwaka 2014 kwanzia  mwezi wa kwanza niliamua kufanya utafiti huu kwa kutumia wanaume kumi tu kwa muda wa miezi sita. Haikua kazi rahisi kwani ilibidi wafanye kazi hii kwa gharama zangu kwani ilibidi niwasimamie na wafanye kama navyotaka mimi.
Baada ya miezi sita matokeo yale yalinifanya nikubali mazoezi haya yanafanya kazi japokua kuna watatu waliacha njiani wale saba waliomaliza mpaka mwisho waliongezeka kwa sentimita 4 mpaka 6 urefu kila mtu na unene wa sentimita 4 mpaka  4.5..yaani baada ya utafiti huu wao ndio walionishukuru wakidai kwamba nimeokoa ndoa zao kwani mwanzoni walikua wazito sana kukubali kushiriki.
Baada ya hapo ndipo nilipokaa chini na kuanza kuandaa kitabu hichi kwanzia mwezi wa saba mwaka jana na kukikamilisha mwezi wa tano mwaka huu. Kitabu hichi sio kirefu sana ila kilinitaka akili nyingi na kuandika vitu vyenye ushahidi wa kweli sio kukurupuka tu, kwani unapofanya kitu kinachohusiana na maisha ya binadamu hasa eneo hilo lazima uwe makini sana.
Ni kweli watu wanatofautiana sana kimaumbile yaani kuna wengine wanawahi sana kupata matokeo na wengine wanachelewa kidogo lakini mwisho wa siku hakuna anyeambulia patupu.
TATIZO LA KUTOKUA NA UVUMILIVU..
Mazoezi haya yanatakiwa yafanyike mara tano kwa wiki sio chini ya miezi mitatu kwa kufuata kama nilivyoelekeza, wasomaji wengi hapa wanaona ni kawaida ila huenda wengi wenu mtaacha kabla ya muda huo.
Kupata dakika 20 mpaka 30 za kujifungia sehemu peke yako bila kubugudhiwa inaweza kua ngumu sana labda ufanye usiku sana au asubuhi mapema kabla watu hawajaamka labda kama unaishi peke yako.
Kumbuka katika kila mwanaume aliyefanikiwa kuna wengine walikata tamaa na kuacha ndio maana nilitoa mfano wa kubeba chuma hapo mwanzoni kwani mimi pia ni mshiriki wa mazoezi hayo ya kubeba vyuma yaani lazima uwe na moyo wa chuma.
Mazoezi haya yanawezekana kwani kuna ambao tayari wamefanikiwa kwa mazoezi haya ya kuongeza maumbile, unene wa uume na nguvu za kiume.
CHAKULA
Wakati unafanya mazoezi haya jitahidi kula vyakula vya protini hata mara nne kwa siku kwani ndio mzizi mkuu wa ukuaji wa binadamu  yaani nyama, samaki, karanga,maziwa, korosho,dagaa na kadhalika…
MUDA WA MAZOEZI NA KUONGEZEKA KWA MAUMBILE..
  • Utaona mabadiliko ya nguvu za kiume wiki chache baada ya kuanza mazoezi haya na uume utaonekana mkubwa hata ukiwa umelala.
  • Mwezi wa kwanza tegemea kuongezeka uume kwa sentimita 1.5 na unene wa sentimita 1.5
  • Mwezi wa tatu tegemea kupata  sentimita 4 mpaka 6  za urefu na sentimita  3 mpaka 3.5 za unene.
  • Miezi sita utaongezeka zaidi ya hapo.
  • Urefu huo ni kutokana na data za  asilimia kubwa ya watu waliyoyafanya japokua kuna ambao watawahi zaidi kufanikiwa na wengine kuchelewa kidogo.
MWISHO; kitabu hichi kitauzwa kwa shilingi elfu ishirini na tano tu za kitanzania 25000 tu ambayo italipwa m pesa au tigo pesa kwa namba hizi mbili 0653095635 tigo 0769846183 vodacom kwa  wanaohitaji . Ukishalipa utatuma email yako kwenye namba hizo au nitumie email yako  moja kwa moja kwenye email yangu kalegamyehinyuye@gmail.comafu ntakutumia kitabu kikiwa kwenye mfumo wa soft copy.kama ukihitaji hardcopy unaweza kuja kuchukua ofisini kwangu ukonga madafu kwa walioko dar au ukatumiwa kwa basi kwa wa mikoani.[gharama ya usafiri wa basi ni juu yako kama uko mkoani]
Kumbuka: usipoteze fedha zako kama hauko tayari kufanya mazoezi hayo kwa moyo wote  kwani mimi sio mganga wa kienyeji na utaishia kulaumu kama hauko tayari kujitoa,… pia naamini msemo wa waingereza no pain no gain.
USUACHE KUTOA MAONI YAKO AU KUULIZA SWALI LOLOTE KUHUSIANA NA MADA HII.

KAMA WEWE NI MWANAUME UNATATIZO LA KUFIKA KILELENI MAPEMA SOMA HAPA


Pre mature ejaculation ni nini?
Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.
Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada  ya hali hii kutokea.
Kimsingi  mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.
Tatizo hili huweza kutokea mara tu baada ya kubalehe,{primary pre mature ejaculation} mda mrefu baada ya kubalehe{secondary PE} au kutokana na aina ya mwanamke uliompata.{situational PE}
Chanzo ni nini?
Tatizo hili halina sababu za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti zikakakubalika ila wanasayansi wanaamini sababu zifuatazo zinaweza kua chanzo kikuu cha tatizo hilo.
kupiga punyeto au kujichua; mara nyingi watu wanaopiga punyeto hua wanafanya haraka kwa kujificha ili wasikutwe na mtu. tabiaile ya kulazimisha mbegu zitoke haraka huweza kuleta tatizo hili.
kukaa muda mrefu bila kushiriki tendo la ndoa; kukaa mda mrefu sana bila kushiriki tendo la ndoa husababisha mkusanyiko mkubwa wa mbegu za kiume ambazo zinaleta msisimko mkubwa na ukichelewa sana kushiriki tendo la ndoa zitatoka kwenye ndoto nyevu. kawaida mwanaume anatakiwa ashiriki tendo angalau mara nne kwa wiki.
kuwa na wasiwasi wakati wa tendo la ndoa; mtu akiwa na historia ya kupata  hali hii kabla, hua hajiamini na kua na wasiwasi kwamba litatokea tena na matokeo yake hulipata kweli.
madhara ya dawa zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu; baadhi ya dawa za usingizi, mawazo na zingine zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu huleta tatizo hili mfano amitriptyline.
kurithi; baadhi ya koo au familia fulani hurithi vimelea vya kua na ugonjwa huu kwa vizazi mbalimbali vya familia husika.
magonjwa ya mfumo wa uzazi wa mwanaume mfano prostatitis.
Diagnosis{ kuutambua ugonjwa]
Mwanaume yeyote ambaye anatoa mbegu chini ya dakika moja au mbili ni muhanga wa hili tatizo na anatakiwa apewe matibabu.

Matibabu
Matibabu ya ugonjwa huu yamegawanyika sehemu kuu mbili kulingana na ukali wa tatizo husika.
  • Non pharmacological treatment{matibabu yasiyo hitaji dawa}:matibabu haya hupewa watu ambao wanahimili mpaka dakika tatu bila kutoa mbegu.
  • Pharmacological treatment{matibabu yanayohusu dawa}: matibabu haya hupewa watu ambao hutoa mbegu ndani ya dakika moja baada ya kuanza kushiriki tendo la ndoa, watu hawa hushauriwa kutumia na mbinu zote mbili za matibabu.
Yafuatayo ni matibabu yasiyohitaji dawa.
  • Tumia condom:
Condom ni moja ya tiba nzuri ya tatizo hili kwani hufanya kazi kwa kupunguza hisia kali za mapenzi mtu anazozipata pale ambapo hatumii condom.
  • Kandamiza perineum kwa kidole:Perineum ni eneo kati ya mkundu na korodani, ile sehemu ikikandamizwa na kidole huweza kuzuia kukojoa haraka wakati wa tendo la ndoa.
    .
  • Punguza wasiwasi: hebu lifikirie tendo hili kama njia ya kujifurahisha sio njia pekee ya kutafuta kutoa mbegu, hii itakusaidia kuondoa mawazo ya kutafuta mbegu na kuchelewa kumaliza.
  • Fanya taratibu: picha za ngono zinadanganya sana watu kwamba kulala na mwanamke lazima ufanye kwa haraka haraka kama mbwa. HAPANA; ukifanya taratibu ndio njia nzuri ya kumfikisha mwenzako na wewe kuchelewa kufika kileleni.
  • Badilisha style: ile style ya zamani ya kumlalia mwanamke kwa juu{missionary position} inaleta msuguano mkubwa kwenye kichwa cha uuume hivyo itakufanya ufike haraka sana.
  • Tumia style ya wewe mwanaume kutangulia chini afu mwanamke juu au kulala kwa upande wote mnaangalia upande mmoja hii itakusaidia sana kuchelewa
  • Toa mawazo kwamba unafanya ngono: hebu jaribu kufikiria mambo mengine ya kikazi au masomo wakati unafanya tendo hilo, hii itakupunguzia hisia kali za mapenzi na kuchelewa kufika.
  • Fanya na kuacha: hii ni ile hali ya kuzuia msuguano pale unapoona unakaribia kutoa mbegu kwa kama sekundi 30 kisha unaanza upya. Hakikisha haufiki “point of no return”. pointi ambayo huwezi kujizuia tena kumaliza.
  • Kandamiza sehemu ya shingo la uume: hii sehemu ya shingo ya uume kwa chini ambayo ukiibana itakusaidia kuanza upya tena kihisia. Nimetumia shingo la uume kwasababu najua uume hauna mabega.
tumia kilevi: unywaji wa pombe mfano bia mbili kwa siku kwa wanaume pombe hupunguza kidogo nguvu ya mishipa ya fahamu na kufanya mtu aliyekunywa kuchelewa sana kufika kileleni, [watu wanaokunywa pombe lazima mtakubaliana na hili] hivyo unaweza kunywa bia, wine au whisky nusu saa kabla ya tendo na kuondoa shida hii.
Matibabu ya kutumia dawa.
hizi hupewa iwapo tatizo lako ni kubwa sana na hizo njia hapo juu zimeshindikana…
  1. Serotonin reuptake inhibitors mfano paroxetine na clomipramine zimefanya kazi nzuri ya kuzuia kufika kileleni haraka….. humezwa saa moja kabla ya tendo la ndoa.

ZIFAHAMU DALILI ZA MWANAMKE AKIFIKA KILELENI

kufika kileleni ni nini?
hii ni hali ya mwanamke kufika mshindo baada ya kushiriki tendo la ndoa au kujichua mwenyewe, hali hii humfanya hamu ya ngono aliyekua nayo mwanzo kupungua sana.
Katika 100% ya wanawake wanaojihusisha na tendo la ndoa, ni asilimia 57% tu ndio wanaofanikiwa kufika kileleni.. hii ni idadi kubwa sana na inaweza kusababisha kuvunjika kwa mahusiano kulingana na chanzo. mara nyingi wanawake amabao wameshawahi kufikishwa kileleni huko nyuma au hufika kileleni kwa kujichua wao wenyewe, huweza kuwaacha wanaume zao wapya ambao kimsingi wameshindwa kuwafikisha tofauti na wale ambao hawajawahi kufika kileleni kabisa ma wengine wameshakua kwenye mahusiano ya wanaume mpaka sita lakini bado. hawa amabao hawajawahi kabisa sio rahisi kuachana na wanaume zao kwani wao wameshajua tatizo liko kwao. sasa inshu ni kwamba bado kuna wanaume wengi ambao hua wanapata hofu yaani hawajui kama wanawake zao wanafika kileleni au vipi.. kuna aina mbili za wanawake….wapo ambao wanasema ukweli hawajafika na wapo ambao wanadanganya wamefika ili umuache aendelee na shughuli zingine kwani haoni dalili za kufikishwa na kama umekutana naye kwa mara ya kwanza anaweza asikubali tena kulala na wewe.zifuatazo ni dalili muhimu.
kubana sana kwa uke; kama ulikua unaendelea kufanya mapenzi kawaida kisha unaona uke wake unabana sana uume wako au kama ulikua umeweka kidole kisha unaona kidole chako kinabanwa basi ujue amefika kileleni kwani hiyo ni misuli ya uke ambayo hujikunja kipindi hicho…
kulegea  mwili ghafla; mara nyingi kabla ya kufika kileleni anakua amekukumbatia sana na kukushika lakini inatokea nguvu zote zinamuishia na kisha anatulia na kutofanya jambo lolote tena basi ujue amefika kileleni.
kubadilika kwa tabia ghafla; kama alikua anapiga kelele kipindi chote cha tendo na sasa amekaa kimya au alikua kimya muda wote na sasa anapiga kelele basi ujue kwamba amefika kileleni, baadhi ya wanawake huweza kukuchana na makucha mgongoni akiwa katika hali hii.
degedege; hii ni hali ya kukamaa na kulegea kwa misuli litaalamu inaitwa vibration, hutokea pale mwanamke anapokua amepiga mshindo kwa msisimko mkali sana. hutokea ndani ya sekunde chache kama 15 mpaka 30 na kuacha.
kuloana sana uke; kipindi hiki uke huloana sana na kutoa ute wenye mchanganyiko wa rangi nyeupe lakini pia baadhi ya wanawake humwaga maji mengi na kuruka kama bomba la maji..hali hii isikutishe kwani ni moja ya vitu vya kawaida.
hujaribu kuzuia chochote unachofanya; anaweza kukuzuia kuendelea kuingiza uume kwake yani utulie vile vile ulivyo au akakushika mikono yako kwa nguvu sana, au kushikia vidole vyako kama ulikua unatumia vidole vyako kumsisimua kwenye sehemu zake za siri.
kupumua kwa kasi sana; hii hutokea pale anapokua tayari amemaliza kufika kileleni, hupumua kwa kasi sana na baadae huanza kupumua taratibu.kitaalamu mtu huyu akipimwa hukutwa na presha iliyopanda na mapigo ya moyo kua juu sana. hii inaweza kua sababu kwanini baadhi ya watu vifo huwakuta wakati wa ngono.
mwisho; sio mpaka mwanamke apate dalili zote hapo juu ndio uamini amefika kileleni, akipata moja tu au mbili kati ya hizo ni dalili tosha. hivyo ukiwa makini sana sio lazima umuulize kama amefika au vipi kwani dalili hizo zitakujulisha

Watafiti wa Saikolojia wamesema “KUMSHIKA MKONO UMPENDAE WAWEZA KUMPUNGUZIA MAUMIVU KWA KIASI KIKUBWA KIPINDI AKIWA ANAUMWA”

Wanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Colorado, Marekani wamesema kuwa kumshika mkono mtu unayempenda wakati anahisi maumivu kunasaidia kupunguza hali ya maumivu kwa zaidi ya 60%, kwa mujibu wa utafiti wao.
Utafiti umeonesha kuwa wanawake wengi waliofanyiwa upasuaji au wakati wa kujifungua hupunguza mawimbi ya maumivu yatokayo kwenye ubongo kwenda kwenye mwili iwapo walishikwa mikono na waume zao.
Dr Pavel Goldstein, akielezea hali hiyo inavyoweza kutokea kisayansi amesema cingulate cortex ambayo ni sehemu ya ubongo huchelewa kutuma taarifa kwenye ubongo kuhusu kuwepo kwa maumivu kutokana na uwepo wa homoni ya Oxytocininayozalishwa iwapo mtu atashikana mikono na mtu wanayependana.
Utafiti pia umeonesha moyo hupungua mapigo na kuwa ya kawaida wakati wa maumivu makali kutokana na saikolojia ya binadamu kujisikia amani anapokuwa na mtu anayempenda wakati wa kuumwa. Hivyo, imeonekana ni muhimu kwa wanaume kuwashika mikono wake zao wakati wa kujifungua.

MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA UCHUMBA.

I:USIHARAKISHE.
Usiharakishe na kukurupuka kutafuta mchumba kabla ya wakati muafaka.Pengine unaweza kujiuliza ni wakati upi ni muafaka kutafuta au kuwa na mchumba?ni wakati unapokuwa umekomaa kiroho, kiakili na kimwili umejitambua kikamilifu ulikotoka, mahali ulipo na unapokwenda na umetathimini kwa makini mipango na ratiba yako ya sasa na ya baadaye ndipo waweza kuchukua hatua hii mhimu katika maisha. Wengi wamepuuzia hili na kukurupuka kutafuta mchumba bila kujitathmini na kuishia kwenye uasherati na usaliti vilivyowaletea huzuni na majuto badala ya furaha na ndoa takatifu. Biblia inasema “Ni nani katika ninyi Kama akitaka kujenga mnara asiyeketi kwanza na kuhesabu gharama kwamba anavyo vya kumalizia asije akashindwa kuumaliza baada ya kuupiga msingi watu wote waonao wakaanza kumdhihaki…….” (Luka 14:28-30).
II: USITAFUTE MCHUMBA KWA MSUKUMO KUTOKA NJE.
Usitafute mchumba Kwa kuangalizia, kushawishiwa, kuiga au kusukumwa na ndugu, marafiki au washiriki wenzako, suala la kutafuta mchumba linapaswa kutoka ndani yako baada ya kujithamini na kuona kuwa ni wakati mwafaka na kupata sababu za msingi za kupata mchumba hatimaye kufunga ndoa.
III: USITAFUTIWE MCHUMBA.
Vijana wa kiume na wa kike wanatakiwa kuwa makini sana katika suala hili, yakupasa uwe na orodha yako ya sifa unazozitaka, cha msingi zisipingane na neno la MUNGU, hizo zitakuongoza katika kutafuta mke au mme utayempenda na kumfurahia, fanya maamuzi ambayo hutakuwa na sababu ya kumfurahia mwingine.
Ushauri wa ndugu, jamaa, marafiki na viongozi wa kanisa unafaa kuzingatiwa kwa makini,lakini maamuzi ya mwisho yatoke kwa mhusika ambaye ataambatana na huyo mwenzi maisha yote, wengi wametafutiwa na kuishia kulaumu na kuvunja uchumba na hata ndoa.
IV: USIFANYE UCHUMBA WA SIRI.
Uhusiano kati ya kijana wa kiume na wa kike waliopendana, waliokubalian kuoana huitwa uchumba baada ya vijana hao waliokubaliana kuwajulisha wazazi wa pande zote mbili na ikibidi viongozi wa kanisa. Kuendesha mahusiano ya siri siri kunafananishwa na Nabii sawa na dhambi ya wizi, kuiba upendo wa msichana, kwa kweli kitendo hiki hakikubaliki kabisa na si chema kwa binti mwenyewe, kwa wazazi na hata mbele za MUNGU “mvulana ampendaye msichana …. Bila kujulikan kwa wazazi wa msichana hafanyi tendo jema kwa msichana mwenyewe wala kwa wazazi wake. Kwa kweli hata hafanyi kitendo chema cha kikristo  madhara ya uchumba wa siri ni pamoja na kuvunja uhusiano wenu na MUNGU, kukosa ushauri wa wazazi na viongozi wacha MUNGU, kufasiriwa vibaya na watu wanaowaona na kujiingiza katika vitendo viovu vya uasherati kwa urahisi. Hivyo mara baada ya kukubaliana, ni muhimu kutoa taarifa kwa wazazi na uongozi wa kanisa.
V:USIWE NA WACHUMBA WENGI.
“Ajifanyiae rafiki wengi ni kwa uangamivu wake mwenyewe……..” (Mithali 18:24). Utafiti unaonyesha kuwa vijana wengi wa kiume na wa kike wakristo huwa na wachumba wengi kwasababu kwa sababu zifuatazo, kwanza kutokuwa na uhakika kuwa yupi mchumba wa kweli, pili ni kutaka kupata umaarufu, tatu ni tamaa na nne ni kutaka vya bure na tano ni kukurupuka. Hiyo siyo tabia njema kwa kijana mkristo, kuwa na wachumba wengi kuna madhara makubwa. mfano kuwa mdanganyifu ili kuwaridhisha wote, kusababisha ugomvi na hata kuuana miongoni mwa wa wapenzi wako, wakigundua wote waweza kukuacha, lakini pia ni kuwapotezea muda wengine.Mungu hapendezwi na mwenendo huo hata kidogo,uovu huu usipoachwa, utajitokeza tena katika maisha ya ndoa baada ya harusi muombe MUNGU kwa imani uwe naye mmoja tu kwa wakati na inaposhindikana, tulia mwombe MUNGU naye atatuongoza mahali sahihi.
VI: USIOMBE UCHUMBA KWA MAJARIBIO “KUUDHIHAKI MOYO”
‘Kudhihaki ni kosa ambalo halina upungufu wowote machoni pa MUNGU mtakatifu. Ingawa ni hivyo wengi huonyesha wasichana mapenzi na kuamsha upendo wao na baadaye wakaenda zao bila kujali Waliyonena na bila kufikiri maneno yao yatakuwa na matokea gani kwa yule msichana. Wanapokuwa wakitangatanga huko na huko huona sura mpya…. Na kuamsha mapenzi ya msichana mwingine hali kadhalika wakaenda na kumsahau pia. Vile vile wako wasichana wenye mien
endo kama hiyo  huu ni ouvu mbele za MUNGU, wengi wamejinyonga na kunywa sumu kwa sababu ya dhihaka za vijana ambao hawakua na dhamira ya dhati, waliotamka nakupenda kwa majaribio au kwa lugha inayotumiwa na vijana kujipima uzito, kisha wakaenda zao. Hebu kijana usiombe uchumba ikiwa huja dhamiria, wala usiombe uchumba bila kupenda au kwa kumsaidia msichana ama kumkubali kijana kwa kumsaidia au kwa majaribio, hiki si kitendo chema kabisa kwa anayetendewa na mbele za MUNGU.
VII: USIWE MWONGO, MUELEZE UKWELI WOTE KUHUSU WEWE.
“Nao ulimi ni moto, ule ulimwengu wa uovu, ule ulimi umewekwa katika viungo vyetu na ndio uutiao mwili wote unajisi; huuwasha moto mfululizo wa umbile nao huwashwa moto wa jehanamu” (Yakobo 3:6) kama kuna kitu kinachoweza kuteketeza uchumba wako ni uongo na usengenyaji. Vijana wengi hutafuta mchumba kwa uongo kwa kujipatia sifa au hadhi zisizo za kweli na kuficha baadhi ya mambo mhimu yanayowahusu, uwe wazi kwa mchumba wako au kijana anayetarajia awe mchumba wako.Ikiwa una mtoto au ulishawahi kuoa au kuolewa.Mueleze mipango au njozi zako za baadaye ili anapofanya maamuzi ya kuwa na wewe awe ameridhika na awe tayari kuwa na wewe jinsi ulivyo, huu ndio msingi wa upendo wa kweli.
VIII: EPUKA VITENDO VINAVYOWEZA KUTAFSIRIWA VIBAYA
Biblia inasema “sisi ni barua iliyoandikwa na kusomwa na watu wote”(2kor 3:2-3), kwa kuwa sisi ni barua ya MUNGU kwa watu wanao tuzunguka imetupasa kuepuka vitendo vyote vinavyoweza kutufanya tusomeke vibaya.Miongoni mwa vitendo hivyo ni kukaa mazingira ya kificho mfano gizani,chumbani au vichakani, watu wakiwaona wanawatafsiri vibaya na hivyo kuwazuia kumuona kristo katika maisha yenu,pamoja na hayo mazoea haya ndio chanzo kikubwa kuelekea katika uzinzi na uasherati .Kitendo kingine ni kuwa pamoja kila wakati ,ninyi sio mume na mke,huu sio wakati wake, kitendo hiki husababisha vijana kuzama katika mapenzi mazito kabla ya wakati,na hivyo huwa vipofu wa mapenzi,hiki nacho ni kichocheo kikubwa cha ngono kabla ya ndoa,kitendo kingine ni maongezi usiku wa manane, tabia hii haimpendezi mungu,saa za usiku ni saa za kumpumzika,kukesha usiku kucha kwa ajili ya maongezi kunadhuru afya yenu vilevile,madhara yake ni pamoja na kudhoofu ubongo,uchovu mwingi na hivyo kufanya hata ufanisi wa kazi zako upungue,pia kitendo hiki huamsha tama za mwili na mwisho kutumbukia katika zinaa na uasherati,na ukiwa unazungumza chumbani unakera wengine na wanakutafsiri vibaya.Tabianyingine ni kutumia pesa au zawadi nyingi ili kuimarisha uchumba au kupata mchumba,kitendo hiki pia si mpango wa MUNGU,uchumba unapaswa kujengwa katika msingi wa upendo wa kweli na si vitu.Tabia hii husababisha upofu wa mapenzi hivyo mambo muhimu hupuuzwa na wengi hujitumbukiza katika uhusiano wa ndoa na watu wasiofaa.
IX: EPUKA ZINAA NA UASHERATI.
“Azinie na mwanamke hana akili kabisha (Mithali 6:32), Vijana wengi hudhani ngono kabla ya ndoa ni ujanja na huimarisha uhusiano wao.Lakini hiki ni kitendo kinacho haribu kabisha uhusiano wako na mwenzi wako na uhusiano wenu namungu.Aidha uzinzi na uasherati unamadhara na hasara zake hasa kwa wasichana.Baadhi ya hasara wazipatazo wasichana ni kama zifuatazo:
Kupata mimba nje ya ndoa (mimba sizizotarajiawa), kukakataliwa na wachumba wao,kuharibu uwezakano wa kupata mchumbamwingine tena,vifo kwa sababu ya kujaribu kutoa mimba walizo pata bila ya kutegemea,kupoteza heshima katika jamii,kuvunja uhusiano wao na MUNGU n.k Sasa kwa nini usiepuke mambo haya kwa kuwa mwaminifu?
X: USICHUMBIE MTU WA IMANI TOFAUTI NA WEWE.
“Msifungiwe nira na wasioamini kwa jinsi isivyo kawaida” (2 kor 6:14), kuonana na kijana mwenye imani tofauti na wewe kunaleta migogoro mizito na isiyokoma katika maisha ya ndoa.Munguamezuia jambo hili tangu zamani ,akawaelekeza waisraeli taifa lake teule wakati ule alisema “wale msioane nao, binti yako usimpe mwanawe mume, wala msimtwalie mwanao mume binti yake (kumb 7:2,3).Sababu yake Mungu anasema “kwa kuwa atamkengeusha mwanao asimfuate Mungu ili wapata kuabudu miungu mingine(kumb 7:4) Vijana wengi wameyapuuza maagizo haya mema na kuongozwa na tama za mioyo yao kama
ilivyokuwa kwa Samsoni(waamuzi 14: ) wengine wakidai watawaongoa , huku ni kujidanganya ,Suleimani alikuwa na hekima kuliko watu wote wa wakati wake na wakati huu, alifanya kosa hilo hilo akitaka kuongoa mataifa yaliyomzunguka kwa kuoa binti zao lakini mwisho aliishia anguko kuu la kiroho na kugeukia miungu yao “Suleimani akawapenda wanawake wengi wageni nao wakaugeuza moyo” (1fal 11:) kama Suleimani alishindwa, vipi wewe?, anaweza kukubali ili kukuridhisha na kukupata wewe lakini kwa hakika huo sio uongofu wa moyoni na matokeo yake utayashuhudia baadaye.Ndoa zimegeuka kuwa mahabusu na jela ndogo,migawanyiko ya imani,malumbano yasio koma,ugomvi usio koma, kwa sababu watu wawili wenye itikadi na falsafa mbili tofauti waliunganishwa kwa ndoa bila ya kujali mausia ya neno la Mungu.Kijana ikiwa uliingia katika mausiano ya namna hii bila kujua au kwa kujua kwa neema ya yesu na hekima ya mbinguni vunja uhusiano huo mara moja.

Njia za asili za kukuza uume

Je, Unajua jinsi ya kukuza uume wako na kuwa na uwezo wa kuto kukojoa mapema kitandani wakati wa tendo la ndoa bila dawa za aina yoyote?

Ni rahisi kwa kutumia njia halisi bila dawa yoyote unachoakiwa kufanya ni vifuatavyo..
1. Kuwa na mafuja ya jelly
2. Mikono misafi sana
3. Mtulivu wa hali ya juu

Jinsi ya kufanya paka mafuta ya Jelly mikononi kisha paka katika uume wako kiasi cha kutosha kisha tengeneza kama o hivi kama unataka kupiga punyeto kisha anza kwa kushika shingo yako ya uume ukianzia nyuma kabisa karibu na mapumbu yako ukiwa umetengeza o telemka chini kama unakamua maziwa ya ng'ombe na ukifika karibu na kichwa cha uume acha anza tena juu.Fanya hivyo kwa dakika 15 kwa siku tano tu na baada ya wiki ikitegemeana na maumbile ya mtu utaona matokeo.

Jamani hii ni kwa ufupi tu, kwa uhakika zaidi search NATURE PENIS INLARGMENT.COM .

TAFUTA GOOGLE UPATE UKWELI NA UNJOI SEX.

THANKS.

Tuesday, November 14, 2017

DOWNLOAD APP YETU MPYA TUMEIUPDATE



Tumeifanyia marekebisho makubwa sana app yetu, sasa unaweza idownload au unaweza kuiupdate kupitia playstore. Ingia katika Playstore App inaitwa Darasa la Mapenzi. Uanze kuenjoy maujanja

Monday, November 13, 2017

Mambo 20 Mvulana Hapaswi Kufanya au Kuuliza Anapokutana na Mwanamke Kwa Mara ya Kwanza


Unahabari kuwa mapenzi ni kama upofu, Unaweza kweli ukaishi kwa mfumo huo na mwisho wa siku ukajikuta umekuwa kipofu hata katika kuongea au kuuliza na ukamkosa hata yule ambaye alitaka kuwa na wewe. Mapenzi sio upofu bali ni akili tu ya namna ya kwenda nayo. Haya hapa mambo 20 ambayo hautakiwi kuuliza pale unapo kuwa na mwanamke au kufanya haswa kwa mara ya kwanza mkikutana au kutoka.

Haya hapa.

  1. Mwanaume hutakiwi kuwa busy na simu yako kuliko kuwa busy na mwanamke wako.
  2. Kuongelea juu ya account yako ya bank au uwezo wa baba yako; hili linamkimbiza mwanamke.
  3. Kuwa na harufu mbaya (Mdomo, Kikwapa, Boxer nk).
  4. Usiulize "Wewe ni Bikira?".
  5. Usiuliza wavulana wangapi ambao tayari amesha anguka nao kitandani.
  6. Kama atalipia kutazama movie au chakula mkiwa out usijifanya kusema umesahau wallet nyumbani au ATM imegoma kutoa pesa.
  7. Usimwambie mwanamke aje kweko pale mnapotaka kukutana kwa mara ya kwanza 'first date' au kwa mshkaji wako.
  8. Usimuache msichana wako akazungumza juu ya msichana mwingine mambo yake hata kwa dakika mbili.
  9. Usimnunulie zawadi nyingi, Anaweza dhani kuwa unataka kumnunua 'Kumfanya mtumwa wa mapenzi kwa zawadi'.
  10. Kwa sababu yoyote ile ikitokea mtu mwingine anataka kupanda gari lako, Usimuweke mpenzi wako akakaa siti ya nyuma.
  11. Usimlinganishe na Ex wako.
  12. Usimuongelee juu ya kunenepa kwake au hata nywelezake labda kwa uzuri tu. Kwamfano kuzungumza kuwa ameumuka sana, nywele zake haziko poa siku hizi nk.
  13. Baada ya kufanya naye s3x kwa mara ya kwanza onyesha kufurahi, Hata kama huku enjoy onyesha ume enjoy.
  14. Table manners (Kuwa mstaarabu kwenye kula, Kula huku unatoa sauti ya namna unavyo tafuna mdomoni kwa fujo, kula huku unaongea, kumwaga mwaga chakula, kutumia kisu au sufuria kwa kula nk hayo yanakufanya mpenzi wako asifurahi kuwa na wewe).
  15. Focus macho yako kwenye macho yake na wala sio kwenye matiti yake au makalio yake.
  16. Kujifanya wewe upo level flani wakati haupo (Wanawake wanaweza kumgundua mtu anaye jidai kwa haraka sana). Usiombe gari la rafiki yako nakusema nilako, Usidanganye kuwa geto la msela wako ndio lako au kudanganya unafanya kazi flani ambapo haufanyi kazi hapo.
  17. Usionyeshe hisa zako za kimahaba kwenye first date.
  18. Usiwe mkorofi kwa muhudumu au wahudumu wa baa au hotelini ili kumuonyesha mpenzi wako kuwa unaweza.
  19. Usimuombe pesa.
  20. Usiombe hata picha, labda kama ameamua kukupa.

Zijue Dalili Za Kuonyesha Kuwa Mpenzi Wako Amechoshwa Nawewe, Na Vipi Utauepuka Majanga Ya Kuachwa....Soma Hapa




Naamini kuwa mahusiano yako na mpenzi wako siku za kwanza kukutana na yeye yalikuwa ya kufurahisha kila wakati mnapokuwa pamoja.  Halafu muda ulivyokuwa ukisongea mumejiona mukipunguza moto ambao mlikuwa nao awali. Naongea ukweli? Hivi wewe na mpenzi wako mahusiano yenu yamefikia kilele cha kuanguka

Ni kawaida katika mahusiano kufikia pahali ambapo lazima kutatokea sintofahamu kati wa wapenzi wawili. Lakini habari njema ni kuwa pindi utakapomaliza kuzima hili chapisho utakuwa na nafasi nzuri ya kutatua matatizo yako na mpenzi wako.

Kutatua matatizo katika mahusiano yanahitaji kazi na kujitolea na baada ya muda mfupi matatizo yenu yatakuwa yametatuliwa bila shida yeyote kutokea. Baadhi ya matatizo makuu ambayo hutokea katika mahusiano ni kama yafuatayo:

1. Malumbano na vioja
Hili ni tatizo kuu ambalo hutokea katika mahusiano na pia ni rahisi kulitatua. Ukimwona mpenzi wako kila mara yeye anapenda majibizano ama kurusha vitu huku na kule, ujue kuwa hii ni dalili ya kuwa anataka kuona mapya kutoka kwako. Kwa wanawake, wakianza majibizano ujue kuwa wanataka mabadiliko katika mahusiano aidha chanya ama hasi.

Tatizo ni kuwa kuboesha huua mahusiano kati ya wapenzi wawili. Na ukisema kuwa utajitenga ili upoeshe mahusiano yenu utakuwa unafanya makosa makubwa. Ukiona kuwa mpenzi wako anaanza majibizano ama vita vya kila wakati, kwa urahisi anajaribu kukuambia: "kama vitu havitaenda vile nataka mimi hakutakuwa na amani mimi na wewe kamwe".
Vitu vya kufanya:
- Akianza vita, fanya kukubali aendelee, hii itamsaidia kuitoa kwa damu yake

- Akianza drama ambayo haijulikani chanzo wewe jifanye hamnazo, na usikubali akuhusishe nayo

- Toka nje ya nyumba. Fanya vitu vya kufurahisha na yeye. Mnaweza kuenda kuangala sinema, sehemu za mapumziko ama hotelini

- Usionekane mtu ambaye una shauku ya kutaka kutatua matatizo yenu kwa uharaka

- Mjeuzie mchezo. Waweza kumrudia drama zote kwake. mfanye aingiwe na wivu.

2. Mpenzi wako hana muda na wewe
Ni kawaida kwa mtu kuwa na sababu za kuwa bize ama kuwa na shughli nyingi, lakini kama utaona ya kuwa wakati kama huu biashara zake zimeongezeka kiasi cha kuwa hana muda na wewe, ni dalili tosha kuwa anajaribu kukutenga.

Kumbuka: Kama unapenda kufanya kitu ama kupenda mtu kawaida unajipa nafasi ya ili kukutana na vitu kama hivyo na si kungojea wakati mwafaka wa kupata muda
Vitu vya kufanya:
- Kuwa mtulivu. Usipayuke wana kumlalamikia.

- Mpatie nafasi. Usitumie nguvu, kumbabaikia ama kuonekana mwenye kutotosheka bila yeye.

- Mwonyeshe kuwa wewe una maisha yako na huwezi kupatika masaa 24/7 (hata kama unaweza kupatikana)

- Ukikutana na yeye mkumbushe kitu ambacho kilimfanya muanze mahusiano. Labda inaweza kuamsha hisia zake

3. Mpenzi wako amepoiteza hamu ya kufanya mapenzi
Mpenzi wako akianza kudai ya kuwa hana mood ya kufanya mapenzi na wewe ama kuonekana hayuko mchangamfu mkiwa na yeye chumbani, uko na tatizo. Kutaka kurudisha mambo kama awali inahitaji kazi kubwa sana.

Jaribu kutafuta chanzo cha nyinyi wawili kupoteza hamu ya mapenzi. Inaweka kuwa labda imetokana na:

- Umekuwa mtu wa tamaa na atenshen yote inataka ielekezwe kwako

- Umepoteza ubinafsi wako na maisha yako yote yamefana na yake, umepoteza marafiki wako na vitu ambavyo umekuwa ukipenda kufanya

- Umepoteza umbo lako la zamani.

4. Miondoko yake ya mwili 'body language' inajielekeza kutoka kwako.
Miili yetu haiwezi kuficha mambo ambayo tunapenda ama kuchukizwa nayo. Baadhi ya mambo ambayo yanawakilishwa na miondoko ya miili yetu ni kama:

- Hapendi kusmama kando yako mkiwa sehemu za hadhira

- Kila wakati anajaribu kujiepusha kumgusa sehemu yeyote yake ama harudi hisia wakati unapoanza

- Mkiwa pamoja mnakula anaangalia madirishani na milangoni

- Mkiwa mmeketi pamoja ataegemea upande wa kando na kwako na kuikumbata miguu yake

- Macho yake hayaingiwi na jazba ya furaha anapokuona, na uso wake unajeuja jiwe

KUMALIZIA: Baada ya kuorodhesha haya yote, unafaa kufahamu pia hapa duniani watu ni tofauti tofauti na tabia za mtu hubadilika kadri siku zinaposongea. Kama unaona kuwa mpenzi wako anahizi tabia tangu ukutane naye basi hio itakuwa ni swala jingine. Lakini wakati mwingi ni kuwa tabia hizi hudhahirika wakati ambapo mahusiano ya wawili yamekuwa taabani.