Mwanasayansi wa Maabara ambaye ni mstaafu katika Serikali ya Kenya Dokta
Moses Njue anashtakiwa katika mahakama ya Meru nchini Kenya kwa kosa la
kuiba viungo vya maiti za Binadamu.
Mwendesha mashtaka wa kesi hiyo Claire Murithi amemshutumu Dokta Njue
kwa kuiba moyo wa Polisi wa zamani wa nchi hiyo Benedict Karau huku
akimshutumu pia kuharibu ushahidi wa kesi hiyo.
Kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa Mahakamani March 12, 2015 yalieleza
kuwa Dokta Njue ambaye ndiye aliekuwa kiongozi mkuu wa uchunguzi wa
maiti katika hospitali ya Consolatha aliiba moyo wa Polisi huyo kabla
haujapelekwa katika shule kwa ajili ya Wanafunzi kufundishiwa.
Katika kesi hiyo ambayo imeendelea kusikilizwa , Dokta Njue amekana
mashtaka hayo huku mahakama ikimtaka kuweka dhamana ya zaidi ya shilingi
Milioni 45 za Kitanzania.
Hata hivyo wakili wa Dokta Njue aliiomba mahakama kupunguza dhamana hiyo
kwa kile alichokidai kuwa mteja wake ni mtumishi wa umma ambapo baadae
mahakama ilimtaka Dokta Njue kutoa zaidi ya Milioni 11 za Kitanzania
kama dhamana.
Saturday, June 30, 2018
Mwanasayansi wa Maabara Ashtakiwa kwa Kuiba Viungo vya Marehemu
About Anonymous
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
ReplyDeleteMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159