Mkazi wa kijiji cha Kate, wilayani Nkasi, Mkoa wa Rukwa, amejikata uume
wake kwa kisu kwa hasira baada ya kuota kuwa anafanya mapenzi na mke
wake aliyefariki mwaka mmoja uliopita.
Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 58 alijikata uume wake juzi majira ya
saa 4:00 asubuhi akiwa amejifungia chumbani kwake peke yake.
Mwenyekiti wa Kitongoji hicho Richard Mselema, akizungumzia tukio hilo
alisema kuwa, mtu huyo alikuwa akitafuta binti wa kumuoa na kuishi nae
kwa muda mrefu baada ya mke wake kufariki, lakini wanawake wamekuwa
wakimkataa kwa kuwa umri wake ni mkubwa.
Baada ya kufanya tukio hilo akiwa peke yake na kupata maumivu makali,
mwanaume huyo alipiga yowe na watu walipofika na kumkuta anavuja damu
nyingi sehemu ya uume wake huku kisu kikiwa kimetupwa pembeni, waliamua
kumbeba na kumkimbiza katika Zahanati ya Kate Mission.
Kwa mujibu wa daktari wa zamu, Paul Katindi, aliyempatia matibabu katika
majeraha aliyoyapata, alisema kuwa hali yake itakuwa nzuri na anaweza
kuendelea na mchakato wake wa kumtafuta mwanamke wa kuoa.
“Niliamua kujikata kutokana na kuwa na uume lakini siutumii kwa kuwa
sina mke wala mpenzi. Hivyo sikuona umuhimu wala faida ya kuwa nao.”
Alisema majeruhi huyo alipoizungumza na mwenyekiti wa Halmashauri ya
wilaya ya Nkasi, Zeno Mwanakulya, ambae pia ni jirani yake, alipokwenda
kumtembelea na kumpa pole.
-Nipashe
Friday, June 29, 2018
Mwanaume Ajikata Uume Wake na Kisu Baada ya Kukosa Mpenzi
About Anonymous
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
ReplyDeleteMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159