Artikel Terbaru

Responsive Ads Here

Tuesday, December 4, 2018

Mrembo Ahukumiwa Jela Siku 14 Kwa Kupost Picha Hii Facebook


Mahakama moja nchini India 🇮🇳 imeamrisha mwanaharakati wa kihindi bi Rehana Fathima kukaa rumande siku 14 kwa kuchapisha picha hii ☝🏿kwenye mtandao wa Facebook.

Polisi wanasema picha hii ni ya ”utupu”.
Amewekwa rumande kwa siku 14 kuruhusu polisi wakamilishe uchunguzi. Je picha hii ya utupu?

No comments:

Post a Comment