Artikel Terbaru

Responsive Ads Here

Friday, January 18, 2019

undefined 201

MAMBO YA KUZINGATIA IWAPO UNATAKA KUSHIKA MIMBA

 Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kumfanya mtu asishike mimba. Sababu hizo zinaweza zikawa zinamhusu mwanamke, mwanamume au wakati mwingine kutojulikana kabisa hali hiyo imesababishwa na nini. Wataalamu wanasema kwamba kwa miaka 20 iliyopita matatizo yanayohusu kushindwa kuzaa yameongezeka kwa kiwango...
undefined 201

SIRI YA KASI YA MBEGU ZA KIUME YAGUNDULIWA!

Wataalamu wanasema wamegundua kwamba mbegu za kiume huanza kwenda kwa kasi wakati zinapofika karibu na yai la mwanamke, suala ambalo huenda siku zijazo likasaidia katika kupatikana dawa ya kuzuia mimba ya wanaume. Vitundu vidogo vilivyoko juu ya mbegu hizo za kiume huziwezesha kubadilisha PH yake ya...
undefined 201

NCHINI TANZANIA ....WANAWAKE MIJINI WALEMEWA VITAMBI

  UWEZEKANO wa wanawake wa mijini kupata vitambi ni mkubwa mara mbili ya asilimia 32 kwa miaka kumi ijayo tofauti na wa vijijini kwa asilimia 12 katika miaka hiyo, imeelezwa. Hata hivyo hali ya mama na mtoto kwa sasa ni bora, licha ya kujitokeza tatizo la vitambi na karibu matatizo yote yanayohusu...
undefined 201

MAMA WAJAWAZITO WENYE KUONGEZEKA UZITO SANA WANA HATARI YA KUPATA KISUKARI CHA MIMBA

Kina mama wenye mimba ambao huongezeka uzito kwa kasi katika miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito wanakabiliwa na hatari ya kupata kisukari cha mimba (gestational diabetes). Kifafa cha mimba ni hali ambayo wanawake ambao huko nyuma hawakuwa na ugonjwa wa kisukari huonekana kuwa na ongezeko la sukari...
undefined 201

ZIJUE SABABU HIZI ZINAZOFANYA WANAWAKE WAVAE NUSU UCHI

 Wengi hudhani wanawake wengi wanaovaa nguo zinazoonesha sehemu kubwa ya mwili(nusu uchi) huwa wanajiuza. Ukweli ni kuwa hiyo ni sababu mojawapo.Wanawake wa kundi hili huvaa nguo zinazoonesha mapaja, kuta za matiti, mgongo au kitovu wakiamini huwavutia wanaume na watawatongoza na kufanya biashara yao...
undefined 201

MAMBO 11 AMBAYO MWANAUME ANATAKIWA KUYAFANYA ILI KUMRIDHISHA MWANAMKE NA KUJIHAKIKISHIA KUMMILIKI KABISA !!!

Utangulizi Moja ya makosa makubwa ambayo yamekuwa yakifanywa na wanaume, ni kujifunza mbinu mbalimbali za kuwatomba wanawake zao wakidhania kuwa kujua namna na staili mbalimbali, ndio kunawafanya wanawake zao kufikia kileleni. Nasema ni makosa kwasababu, wakati mwanaume yeye anapokuwa na mwanamke akili...
undefined 201

ZIJUE FAIDA 17 ZA KUJAMIIANA. SOMA HAPA

Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Ni ukweli usiofichika kwamba wengi wetu tungependa kuwa na mwenza ambaye mnaridhishana katika tendo la ndoa. Si hivyo tu, bali tendo hili huleta maelewano katika uhusiano wowote ule. Lakini, kuna faida zozote za kiafya...
Page 1 of 12291231229Next