Artikel Terbaru

Responsive Ads Here

Sunday, April 23, 2017

Hivi ni Kwanini Wanawake Wengi Hujivunia Sana Makalio Yao?


Angalia hata picha wanazopiga wanawake utaona jinsi wanavyojibinua ili wanaonekane wana makalio makubwa.
Hata wakati wa kutembea pia wengine hutembea tofauti ili kuhakikisha kuwa makalio yake yanatikisika na ndio maana hata wengine hudiriki hata kutumia dawa za mchina ili kukuza makalio yao na hata baadhi yao wakati mwingine hujigamba kuwa eti wanamshukuru Mungu kwa kuwapa hips kubwa na wakati mwingine husikika wakisema eti mwanamke inye. 
Hivi nyie wanawake hususani wasichana ni kwanini mnapenda sana kujivunia na kuringia makalio yenu? Ina maana katika miili yenu kitu mnachokiona ni cha thamani ni makalio pekee? Badilikeni bwana maana kujivunia makalio badala ya akili ni ujinga wa kiwango cha lami

No comments:

Post a Comment