Artikel Terbaru

Responsive Ads Here

Wednesday, March 28, 2018

Aponea Chupuchupu Kufa Chumbani akifanya mapenzi na mwenzi wake. Wanaume tuwe tunaelimishana

Bwana mdogo namfaham kitambo sana huwa tunamwita "mti mkavu" maana mti mkavu hauchimbwi dawa. Huyu mshkaj harakati zake asilimia 80 ni kufukuzia mademu. Akikosa mademu basi kipindi hicho chote hajagegeda anacheza pool sana(kupiga punyeto) ameshakuwa addicted.jamaa amedhoofu sana.kama teja hivi.

Afya yake imezorota sana sababu anachuja sana nafaka.sasa kumbe kitambo anafukuzia lijimama mashamsham flan mtaani. Amelihonga honga sana limemzungusha mpaka mwishon weekend likamwonea huruma.

Kumbe jamaa alikusanya hasira zake zote kuwa siku akilikamata atalipeleka mchakamchaka sana. Aaah wapi. Li jimama huwa linapigwa na mpingo hata na majamaa watatu...lishakuwa sugu.

Jamaa akaona siku hiyo naye akalipige mpingo hasa.anasema ijumaa lilimtafuta lina shida na pesa 50,000. Jamaa akaliambia kama linataka limtafute jumamosi mitaa ya kati.basi lile limama mashamsham likaona isiwe shida ya nini kumnyima mtu kitu linacho.

Jumamosi jamaa akajipanga akalikamue Guest Flan hivi huko uswazi.buku 10 tu. Jamaa akabakiwa na buku 15,000 maana hakuwa na pesa alikopa kwa masela 25,000. Akalipeleka huko kajifichen.anasema alilipiga bao moja likasema njaa linataka msosi.

Jamaa akakosea kuuliza unakula nini... Likataka kuku nusu, chips na ndizi kadhaa. Halafu na Heineken. Jamaa akaagiza reception wakaleta kupiga piga mahesabu tsh 12,000 jamaa akabakiwa na tsh 3,000 tu nauli.

Chakula kimeletwa lijimama likakitenga mbele ya papuchi limetanua miguu kula.anasema hata halikuwa limeenda kunawa papuch yake.jamaa alidhani wangekula wote...mama mashamsham akauliza "we mbona hujaagiza chako?" Kumthibitishia jamaa kuwa ule msosi jimama linagonga wote peke yake.

Jamaa akajifanya yeye wakati anatoka home alikula sana.so now ameshiba na huwa wakati wa kazi hali hadi amalize kupiga game yaani "kazi na dawa" akila muda huko wakati akipump chakula kitakuwa kinacheza cheza tumboni asije akatapika bure.

Jamaa kumbe alitoka kwake asub kanywa chai ya hudhurung na skonzi mbili kavu.round nyingine anasema akapiga issue waarabu kushuka... Upepo tu. Jamaa akaona maybe tu hakujiachia sana.safari ya tatu anasema alipiga show kushusha waarabu ukawa unatoka mluzi tu...shuuuuuuuuuu.... Na hapo hapo akahisi kama kizunguzungu.

Kuja kushtuka anapepewa na lile limama na mhudumu wa kiume. Jamaa alipoteza faham. Ndo jamaa kukiri kuwa kwa kweli sasa anahitaj msosi.na show ikaishia hapo.jamaa "akakosa mwana na maji ya moto" maana lile limama liliapa halitaki tena kesi kuto***na na watu waliojichokea tayari.

Vijana mle. Kuleni na hizi show si lazima siku moja upige style zote.na hayo mawazo ya kusema unaikomoa K achana nayo. Watu wenyewe wengi hamli vizuri.mnataka mpige show za kibabe.mtu unaweza kufa hiv hivi. Mti mkavu hana hamu tena.
 

No comments:

Post a Comment