Jumatatu nyingine imeanza na uchovu wa weekend.kwa upande wa wanaume
ilikuwa weekend yenye mkanganyiko sana hasa kwa upande wa michezo.mimi
kwangu ni jumatatu kama jumatatu nyingine isipokuwa tu nimeamka nikiwa
mwepesi kiasi flani.
kwa sisi wanaume tusio na utulivu njia moja wapo ya mwanamke kutukatisha tamaa ni pale akisema "baby hatufanyi kitu kwanza mpaka tukapime" hapo utaona kama ni kwenye simu sauti inanyong'onyea. inakosa nguvu na inapoa kweli. basi kwa upole utasikia "aaah baby wala hiyo si shida mi hata muda huu tu ukinambia nipo tayari. juzi juzi tu nimetoka kupima, ila hata hivyo si tutatumia mpira " unakuta demu anakataa kabisa kuwa hata kama inabidi kupima kwanza.
basi nikakutana na kabint kamoja kazuri kadogo kwa umri ila nilikapenda kana msimamo sana.24 years hakataki nikale mpaka tukapime.kamekaza hasa.haka katoto kalinitoa nishai siku hiyo tupo room.kalikataa kata kata...si kwa kinga si kwa nini.sikutegemea kwa kweli.basi tukaishia tu kufanya warm up na kwa unyonge sana baadaye tukaagana. kenyewe kanani kiss kiss "baby usijali hii yako tukipima utakula mpaka mwenyewe uchoke"
mimi alhamis nikaona bora kwanza nikafanye vipimo vya awali.maana ndo nilipoanza kukukumbuka kwenye mihanjo yangu wale mademu niliwagonga kinyama... juzi juzi tu sinza nimepiga issue ya mtu bila kinga kw aile style ya "King Kiki Kitambaa cheupe Chungulia" na ilikuwa mechi ya hakuna kulala. hapo ndo nikapata muda wa ku recall pita pita zangu toka miaka kama sita iliyopita. nikakumbuka game nyingi nilikuwa nauza... kiukweli wadada asilimia 97 hawapendi condom... huu ni utafiti nilioufanya.wanapenda wapate kitu live.
so mkiwa kwenye game utasikia anaanza "baby tutumie mpira" unamwambia " mmhh... au wewe hujiamini?mimi nimepima mwezi uliopita sijafanya tena toka kipindi hicho nipo safi kabisa.wewe je?" utasikia "kama ni hivyo basi sawa" anaachia miguu. hawapendi kabisa condom.ila wanapenda kuhakikishiwa tu kuwa mwanaume uko sawa.
nikakumbuka dada mmoja nlianza kumdate siku ya kwanza tu nimeenda kwake nikamla... basi baada ya kama mwezi hivi nikawa nimemtumia text kuwa babe nimeenda kupima leo nimekutwa HIV NEGATIVE" akanijibu " mmhh.. haiwezekani ..hivyo vipimo vyao vipo sawa kweli?" nikashtuka. nikamwambia "mbona sikuelewi" akatuma text" umepima hosp gani?kuna vipimo vingine usiviamini... yaaani unasema huna HIV haya ni maajabu kabisa" roho ilianza kunidundia mgongoni.yaani kabisa nilikuwa nasikia kama kuna mtu anadunda "ndu ndu ndu.." mgongoni kwangu.
yule demu alinambia haiwezekani ikawa sina HIV AIDS au vipimo vyake yeye basi vilikosewa. kuanzia hapo akawa hapatikani kwa simu. tumbo lilivurugika nikaanza kutokwa na jasho kali lenye harufu kwapani....siku hiyo niliharisha sana.. nlichanganyikiwa kiukweli... kuwa aika ananiua aika... hivi hivi nimeunganishwa kwenye grid na huyu bint... nilianza kuwaza mbali sana namna ambavyo ntaanza kukonda... na nilivyoanza kuharisha kwa mshtuko ndo kabisa nikasema mimi gonjwa limenianza mapema sana.... niliahirisha ile mbaya..mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kwa kasi na kudunda kwa nguvu sana. jasho likinitoka na kichwa kuniuma.
kuanzia hapo nikawa najipa tu moyo kuwa nilimwandaa kiasi cha kutosha alikuwa ameloana so sikumchubua hakunichubua... ikaenda enda baada ya miezi kadhaa nikampigia tena simu nilitaka kujua kama yupo hai au ndo ameshakufa.akapokea siku akiwa amechangamka tu na kuniuliza "heeeeh.. leo umenikumbuka" nikamuuliza unaendeleaje na upo wapi.akanambia yeye yupo fresh na yupo kazini.tukaongea ongea...nikamuaga.
sasa juzi ndo bint anasema tukapime.nikaona ok... ngoja kwanza nikapime mimi nione hali yangu ikoje.nikaenda hosp moja mitaa ya town...nikaomba nipimwe mambo mengi mengi na umeme ukiwemo.mhusika akanambia nisubiri after 15 mins nikachukue majibu. wadau kupima si kazi..kazi ni kuchukua majibu. hapo ndo kazi huwa inakuw akubwa sana. nakumbuka kama mara 4 hivi nlishawahi kukimbia majibu.siku hiyo nilijihisi tena kuharisha..nilienda toilet mara 3 hivi... nikaanza kuona hili balaa sasa. baadaye nimeenda.nesi anataka tena kuanza stories za kuwa nikikutwa ninao inakuaje..nikamwambia "nesi hebu nipe majibu please niondoke" akanicheck akakuta nimekunja sura.. akanambia "ooh sorry..umekutwa huna HIV uje baada ya miezi 3" nikatabasamu na kumtaka radhi kwa ukali nilioonesha before. jana nikaenda na binti kupima huku napiga tu mluzi sina shaka.tumepima na kukutwa hatuna. niliongozana naye kuelekea machinjioni...nikaelekeza kichwa chek kibra... nikachinja.mpaka kumwachia jioni. weekend ilikuwa nzuri.
dada zangu najua hampendi kutumia kinga..mnasema zinawachubua na pia zinawakosesha raha..ila usimwamini mtu na usipime kwa macho. chonde chonde dada zangu siyo nikija kuomba game kwenu nianze kuwa na wasiwasi kuwa pengine
kwa sisi wanaume tusio na utulivu njia moja wapo ya mwanamke kutukatisha tamaa ni pale akisema "baby hatufanyi kitu kwanza mpaka tukapime" hapo utaona kama ni kwenye simu sauti inanyong'onyea. inakosa nguvu na inapoa kweli. basi kwa upole utasikia "aaah baby wala hiyo si shida mi hata muda huu tu ukinambia nipo tayari. juzi juzi tu nimetoka kupima, ila hata hivyo si tutatumia mpira " unakuta demu anakataa kabisa kuwa hata kama inabidi kupima kwanza.
basi nikakutana na kabint kamoja kazuri kadogo kwa umri ila nilikapenda kana msimamo sana.24 years hakataki nikale mpaka tukapime.kamekaza hasa.haka katoto kalinitoa nishai siku hiyo tupo room.kalikataa kata kata...si kwa kinga si kwa nini.sikutegemea kwa kweli.basi tukaishia tu kufanya warm up na kwa unyonge sana baadaye tukaagana. kenyewe kanani kiss kiss "baby usijali hii yako tukipima utakula mpaka mwenyewe uchoke"
mimi alhamis nikaona bora kwanza nikafanye vipimo vya awali.maana ndo nilipoanza kukukumbuka kwenye mihanjo yangu wale mademu niliwagonga kinyama... juzi juzi tu sinza nimepiga issue ya mtu bila kinga kw aile style ya "King Kiki Kitambaa cheupe Chungulia" na ilikuwa mechi ya hakuna kulala. hapo ndo nikapata muda wa ku recall pita pita zangu toka miaka kama sita iliyopita. nikakumbuka game nyingi nilikuwa nauza... kiukweli wadada asilimia 97 hawapendi condom... huu ni utafiti nilioufanya.wanapenda wapate kitu live.
so mkiwa kwenye game utasikia anaanza "baby tutumie mpira" unamwambia " mmhh... au wewe hujiamini?mimi nimepima mwezi uliopita sijafanya tena toka kipindi hicho nipo safi kabisa.wewe je?" utasikia "kama ni hivyo basi sawa" anaachia miguu. hawapendi kabisa condom.ila wanapenda kuhakikishiwa tu kuwa mwanaume uko sawa.
nikakumbuka dada mmoja nlianza kumdate siku ya kwanza tu nimeenda kwake nikamla... basi baada ya kama mwezi hivi nikawa nimemtumia text kuwa babe nimeenda kupima leo nimekutwa HIV NEGATIVE" akanijibu " mmhh.. haiwezekani ..hivyo vipimo vyao vipo sawa kweli?" nikashtuka. nikamwambia "mbona sikuelewi" akatuma text" umepima hosp gani?kuna vipimo vingine usiviamini... yaaani unasema huna HIV haya ni maajabu kabisa" roho ilianza kunidundia mgongoni.yaani kabisa nilikuwa nasikia kama kuna mtu anadunda "ndu ndu ndu.." mgongoni kwangu.
yule demu alinambia haiwezekani ikawa sina HIV AIDS au vipimo vyake yeye basi vilikosewa. kuanzia hapo akawa hapatikani kwa simu. tumbo lilivurugika nikaanza kutokwa na jasho kali lenye harufu kwapani....siku hiyo niliharisha sana.. nlichanganyikiwa kiukweli... kuwa aika ananiua aika... hivi hivi nimeunganishwa kwenye grid na huyu bint... nilianza kuwaza mbali sana namna ambavyo ntaanza kukonda... na nilivyoanza kuharisha kwa mshtuko ndo kabisa nikasema mimi gonjwa limenianza mapema sana.... niliahirisha ile mbaya..mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kwa kasi na kudunda kwa nguvu sana. jasho likinitoka na kichwa kuniuma.
kuanzia hapo nikawa najipa tu moyo kuwa nilimwandaa kiasi cha kutosha alikuwa ameloana so sikumchubua hakunichubua... ikaenda enda baada ya miezi kadhaa nikampigia tena simu nilitaka kujua kama yupo hai au ndo ameshakufa.akapokea siku akiwa amechangamka tu na kuniuliza "heeeeh.. leo umenikumbuka" nikamuuliza unaendeleaje na upo wapi.akanambia yeye yupo fresh na yupo kazini.tukaongea ongea...nikamuaga.
sasa juzi ndo bint anasema tukapime.nikaona ok... ngoja kwanza nikapime mimi nione hali yangu ikoje.nikaenda hosp moja mitaa ya town...nikaomba nipimwe mambo mengi mengi na umeme ukiwemo.mhusika akanambia nisubiri after 15 mins nikachukue majibu. wadau kupima si kazi..kazi ni kuchukua majibu. hapo ndo kazi huwa inakuw akubwa sana. nakumbuka kama mara 4 hivi nlishawahi kukimbia majibu.siku hiyo nilijihisi tena kuharisha..nilienda toilet mara 3 hivi... nikaanza kuona hili balaa sasa. baadaye nimeenda.nesi anataka tena kuanza stories za kuwa nikikutwa ninao inakuaje..nikamwambia "nesi hebu nipe majibu please niondoke" akanicheck akakuta nimekunja sura.. akanambia "ooh sorry..umekutwa huna HIV uje baada ya miezi 3" nikatabasamu na kumtaka radhi kwa ukali nilioonesha before. jana nikaenda na binti kupima huku napiga tu mluzi sina shaka.tumepima na kukutwa hatuna. niliongozana naye kuelekea machinjioni...nikaelekeza kichwa chek kibra... nikachinja.mpaka kumwachia jioni. weekend ilikuwa nzuri.
dada zangu najua hampendi kutumia kinga..mnasema zinawachubua na pia zinawakosesha raha..ila usimwamini mtu na usipime kwa macho. chonde chonde dada zangu siyo nikija kuomba game kwenu nianze kuwa na wasiwasi kuwa pengine
No comments:
Post a Comment