Hawa wanawake wa kitanga wamezid jamani heeeeee.....
Alikuwa kapanda na bwanake kwenye daladala wamekaa siti moja, mwanamke
kamchukua bwanake akamuegesha kwenye kifua chake akawa anamuimbia nyimbo
za kimahaba, halafu sio kwa sauti ya chini chini ilikuwa sauti kubwa tu
mpaka kila mtu akawa anashangaa na kulalamika kuwa mahaba yao
wakafanyie chumbani....
Alipokuwa anashuka akasema "mi ndio mtoto wa kitanga, nimefundwa
nikafundika wenye kununa wapasuke twende tukalale laazizi wangu"
hahahahahaha
Saturday, June 9, 2018
Mwanamke wa Kitanga ndani ya Daladala Balaa Tupu
About Anonymous
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment