Artikel Terbaru

Responsive Ads Here

Friday, August 31, 2018

Napata maumivu makali wakati wa ku do


Habari zenu wanajamii forum!Mimi ni msichana wa miaka 25 na nna mpenzi wangu ambaye tunapendana tu,tatizo ni kwamba ninapokutana naye kimwili raundi ya kwanza huwa naenjoy ila raund zinazofuata huwa sijisikii tena na matokeo yake huwa nasikia maumivu makal sehemu kiasi kwamba huwa sioni raha ya mapenzi bali karaha tupu!na mpenz wangu huwa anajitaidi sana kuniandaa lakini naona haisaidii!Je wanajamii hili ni tatizo la kwenda hospitali?naomben ushauri wenu ndugu zangu sababu nimekuwa nikipata tabu hii kwa mda mrefu sasa.

No comments:

Post a Comment