Moja kati ya couples za wasanii wa muziki wa Hip Hop kutokea Marekani
Diddy na Cassie ambazo zilikuwa zikipendwa na watu wengi imeripotiwa
kuwa wawili hao kwa sasa wameachana na hawapo tena katika uhusiano wa
kimapenzi.
Kwa mujibu wa mtandao wa Bazaar umeripoti kuwa Diddy ameanzisha
mahusiano mapya na mwanadada Jocelyn Chew ikiwa wawili hao wanatajwa
kuonekana mjini Miami mwezi uliopita na pia walihudhuria onesho la Drake
siku kadhaa zilizopita.
Mwanadada Jocelyn Chew anayedaiwa kuwa mpenzi mpya wa Diddy
Inaelezwa kuwa Diddy na Cassie walikutana rasmi mwaka 2000 hii ni baada
ya Cassie kujiunga na record label ya Bad Boys na ilipofika 2012 wawili
hao waliamua kuweka wazi mahusiano yao lakini August 2016 inadaiwa kuwa
waliachana na baadae kurudiana
Wednesday, October 24, 2018
Penzi la Mrembo Cassie na P Diddy Laota Mbawa...Diddy Achukua Kifaa Kingine
About Anonymous
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment