Artikel Terbaru

Responsive Ads Here

Monday, April 24, 2017

Kitu Msichana Wako Anachotamani Uwe Na Elimu Na Uwezo Wa Kukifanya Wakati Wa Kufanya Mapenzi Ila Anashindwa Kukwambia

Kitu Msichana Wako Anachotamani Uwe Na Elimu Na Uwezo Wa Kukifanya Wakati Wa Kufanya Mapenzi Ila Anashindwa Kukwambia.'Ukishajiweka na kukaa vizuri kuna mambo mengi unaweza fanya kuichanganya dunia yake''


Mwanaume; Hapo...?
Mwanamke; Hamna....
Mwanamme; Hivi...?
Mwanamke; Sio..., Unakosea!
Mwanaumme; Na hivi Je...?
Mwanamke; Aaaaka...!, hembu toa vidole, unaniumiza!, tuache tu!.
Mwanaumme; Mi sinimekugusa kama ulivyonielekeza!,
Mwanamke; Mi staki tena, nimeshatoka kwenye mudi sijisikii..!.

                 Wanaume inabidi tujiongeze, ukiona hivi ujue hataki vidole!, jiongeze!, anataka ulimi..., ni mara ngapi ulishawahi kwenda chuvini na kumyonya uke wake kabla ya mchezo wenyewe ili kumtayarisha ili uweze kumfikisha kileleni ambacho hato sahau katika maisha yake? kama ni mara chache basi wewe na mpenzi wako kuna mambo mengi mnamisi na kama hamna kabisa jua huyo msichana mtachengana sio mda mrefu, kaka hara hara... mapenzi sio mdomo tu lazima na mambo mengine ya kitandani uyatilie mkazo..!.

                  Sasa dili kubwa ni nini?

                 Hakuna mjia nzuri na maridhawa kwa kumtayarisha mwanamke kwenye mahaba na nakshi za chumbani kabla ya kutombana kama kutumia mapenzi ya mdomo...!, Najua najua... hapo unachokiwaza..!, uchosema kuhusu uchafu ni sawa, ila na yeye lazima awe amejitayarisha, pakisha safishwa hapana tatizo tena kaka!, tuendelee na mada!, mpenzi wako hajawahi kukwambia hili, ila mwanamke huwa hayuko tayari kufanya mapenzi kwa kuguswa na mkono mara moja tu, huwa wanapendelea kupewa msisimko, kupashwa mwili wake joto na kupewa mitekenyo ili awe tayari kisaikolojia na kimwili pia ili aweze kutombwa bila kusikia maumivu na hafurahie kile anachokipata toka kwako na ikiwezekana ili afike kileleni!, upo hapo!, na kwa ufahamu wako mwanamke anafika kileleni kwa urahisi zaidi kwa njia ya ulimi kuliko kwa njia yoyote nyingine!.

                 Mapenzi ya kumnyonya uke yanatakiwa yafanywe kwa usahihi si kutumbukiza tu ulimi na kuutingisha, hautakiwi uende kwa kasi na usifanye kwa haraka wala kwa nguvu, nenda taratibu huku ukibusu na kupapasa mapaja yake kwa ndani huku ukitelemka polepole eneo la tukio!, sehemu kubwa hasa unaotakiwa kuangalia ni kinembe, hata mara moja usipulize maana utasababisha kikauke na hamna raha yeyote atakayoipata iwapo ukikichezea kimekauka.

                   Kinembe ni sehemu iliyo na hisia zaidi kwenye mwili wa mwanamke. kwa hio unatakiwa uende nayo kwa ustaarabu maana ukikosea unamaanisha unamuumiza!, kufanya zoezi la kunyonya uke ili liwe rahisi, unaweza kuweka mito mmoja au miwili chini ya kiuno chake na utafanya uke wake uonekane kwa uzuri na wepesi, ukishajiweka na kukaa vizuri kuna mambo mengi unaweza ukafanya kuichanganya dunia yake kwa raha!.

                  Kwanza papasa na kupiga busu mapaja yake kwa ndani, pumua kwa kawaida ili joto la pumzi yako alisikie juu ya kinembe chake na maeneo mengine ya kuzunguka uke wake hii itamfanya aombe zaidi,sasa jitayarishe kubomoa akili yake kwa kumramba uke wake kama koni kwa ulimi wako ulioutoa nje kwa urefu na mapana ukianzia chini kwenda juu, kiasi kwamba unasambaa eneo zima la uke wake, hakikisha midomo yako, sehemu za juu za mdomo zimekutana na eneo la mavuzi juu ya kinembe chake, fanya mrambo wako ukianzia spidi ndogo huku ukiendelea kuongeza spidi taratibu kabla ya kungiza ulimi katikati ya uke wake halafu uanze kunyonya kinembe chake kwa stairi ya kukimumunya, hakikisha unamsikiliza mapokeo yake, kama amependa sehemu flani halafu ukabadilisha stairi ghafla wakati yeye ndio yupo anagugumia kwa raha na utamu anaweza asikusamehe!.

                  Nini kingine unachowaza kufanya huko chini?. Tumia lips zako kubusu sehemu za ndani, badilisha hizo busu kwa kupitisha lips zako (midomo yako) mapajani mwake kwa ndani huku ukimuuma kwa mbali na ukimnyonya kwa kumvuta ngozi napo kwa mbali vile vile utaona mwenyewe anavyojisikia, mbadilishie ujuzi kwa kumpuliza taratibu, usiwe mwoga kujaribu vitu kwa jinsi unavyojisikia wewe huku ukimsikiliza mlengwa!.Ukimpatia haya mambo lazima uzawadiwe kitu kikubwa ila kama hujui nini cha kufatia, wewe  refusha ulimi wako na sugua ndani ya mashavu yake kwa ndani ya uke wake na si kwa nguvu, taratibu tu mwache mwenyewe ajibetue kwenye ulimi wako uliourefusha, akiendelea kujibetua urudishe ulimi ndani na anza tena kumramba nenda juu, chini, pembeni, mnyonye kinembe chake na umpe raha duniani.

                   Baada ya hapo mpe yule mzee mwenyewe unayemficha ndani ya chupi ambae hana mfupa, Kaka ndo hivyo mambo mengine inabidi unakua na mawazo chanya na kujaribu, uke ukiwa safi huwa haina mazara!, hichi ndicho kitu msichana wako anachokipenda ila anaona hofu kukwambia baada ya kiumeni.com kuwaulizia kwenye utafiti uliojumuisha wasichana na wanawake zaidi ya 100, mfanyie na uongeze furaha kwenye mahusiano yenu ya kimapenzi.

No comments:

Post a Comment