Artikel Terbaru

Responsive Ads Here

Friday, April 21, 2017

Mtumie sms hizi na akupende zaidi

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhWGiQq5axd8IlsJZGWbIQE_pKPButP74xkKNtOWjL_wsNLOgqEsoOP9Nf7pIYYsf09Br67nndtDtv5j0uHcnB8XNq-3fdEVJXPu7eBcvEHdfJqjbFES6xKCeA0TCgb7Vmz8I4iiK6Ibrg/s1600/DIAMOND-WEMA-1.jpgNapenda ufahamu kuwa wewe ndiye nikupendae tu
Uzuri wako sio sababu ya mimi kukupenda
Ila nakupenda kwa matendo yako na jinsi ulivyoumbika.
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Tambua kuwa nakujali
Furahia kwamba nitakuwa na wewe
Katika siku zote za maisha yangu
Nitakupenda bila kikomo milele
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Nafsi yangu inafurahia ya kwamba
wewe ndio chaguo langu, ubavu wangu
tabasamu usoni mwangu ndio siri ya
pendo lako kwangu
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Nakuomba usiondoke, bali ubaki nami
Kwani wewe ndiye kamilisho la maisha
Yangu kwa sasa na siku za usoni
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Njoo pendo langu nikutembeze
katika milango ya furaha
Nikuwakilishe mbele ya majamaa zangu
Nikuonjeshe asali ya pendo langu
 *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Usimpende mtu tuu kwa sababu uko mpweke
Au kwa sababu ana pesa, kwa sababu upendo
Sio pesa wala siluhisho la matakwa yako.
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Rafiki wa kweli hudhaminiwa kama familia
 Pendo la kweli humaanisha, kupenda kweli
Kumlinda, kumjali, kuvumilia na kusameana
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Kumbuka kuwa wewe ni wangu
Kitulizo cha moyo wangu
Kwenye shida na raha
Wewe ni sehemu ya maisha yangu milele
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*


Ewe mwanga angaza mboni ya penzi letu
Ndilo sababu ya nguvu yangu
Tangulia pembeni mwa macho yake
Asubuhi hii hadi usiku ujao
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Uamkapo nitakupa langu tabasamu
Ukweli wa moyo utawale roho yako
Kwani macho yako ndo uzuri kwangu
Nakupenda sasa na milele kipenzi changu
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Nitaenda mbali Zaidi ya maono yako
Safarini nitajenga hekalu la pendo letu
Nitapuliza filimbi kama ishara ya utambulisho wako
Na mwanzo wa sherehe ya ndoa yetu
*°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

Natambua ugumu wa mapenzi
Mengi ni matamu, mengine ni machachu
Ila nakusihi usikate tamaa ya kunipenda  kimoyo
 *°·.¸¸.°  ♥  °·.¸¸.°*

No comments:

Post a Comment