Kuna wakati nilipata mwaliko wa kwenda nchini Uganda,
tulifika Kampla na kupokelewa na mwenyeji wetu. Tulikuwa kikundi cha
watu watano, tulipelekwa kwenye hoteli tuliyoandaliwa na kuambiwa
tujiandae, baada ya masaa mawili mwenyeji wetu atarudi kutuchukua kwa
chakula cha jioni.
Nyumbani kwa mwenyeji wetu ile karamu ilikuwa ya kukata na
shoka, kulikuwa na vyakula vingi kuanzia; matoke, wali, samaki sato,
nyama ya mbuzi (choma), mbuzi mchuzi, chapati, salad, matunda, nuts na
vinginevyo. Katika kujitengea chakula, kaka mmoja nilimuona anakula
salad tu, baada ya chakula tulijiwekea matunda na story za hapa na pale
ziliendelea.
Baadae niligundua kaka yule ni daktari, alinifahamisha
alipata scholarship baada ya kumaliza form six kwenda kusoma medicine
China, alipofika kule aliamua kubadili na kusomea Chinese Medicine na
katika process ya kusoma herbs ndiyo aligundua uharibifu wa chakula
katika harakati za mapishi mpaka kumfikia mlaji.
Daktari yule aliniambia kwa miaka takriban 25 ameacha kula
chakula kilichopikwa, alipoanza ilikuwa ngumu lakini sasa hivi hawezi
tena kula chakula chochote kilichopitia moto. Kwa muonekano yule daktari
anaonekana ana miaka 35, nilishangaa aliponiambia ameshagonga 50 kama
miaka miwili iliyopita.
Dieat yake:
Breakfast; embe na ndizi mbivu au papai na ndizi mbivu pamoja na kikombe cha mchanganyiko wa nuts hii ndiyo supplement ya protein. Chai na kahawa ni sumu kubwa ya mwili, kunywa maji tu ukimaliza kula hivyo. Kwasababu digestion ya matunda ni haraka, hakikisha una matunda yaliyotaarishwa na unaweza kula baada ya saa moja au masaa mawili.
Breakfast; embe na ndizi mbivu au papai na ndizi mbivu pamoja na kikombe cha mchanganyiko wa nuts hii ndiyo supplement ya protein. Chai na kahawa ni sumu kubwa ya mwili, kunywa maji tu ukimaliza kula hivyo. Kwasababu digestion ya matunda ni haraka, hakikisha una matunda yaliyotaarishwa na unaweza kula baada ya saa moja au masaa mawili.
Lunch;
Kabich lililokatwa katwa, matango (cucumber), nyanya, unaweza kuweka limao kwa ladha pia ni source ya vitamin C, vipande vya mhogo au viazi vitamu unatafuna vibichi na kikombe cha mchanganyiko wa nuts unamalizia na maji.
Kabich lililokatwa katwa, matango (cucumber), nyanya, unaweza kuweka limao kwa ladha pia ni source ya vitamin C, vipande vya mhogo au viazi vitamu unatafuna vibichi na kikombe cha mchanganyiko wa nuts unamalizia na maji.
In between hakikisha unaandaa matunda na cucumber kama bites kwasababu digestion inakwenda haraka.
Dinner;
Carrots zilizokatwa katwa, kachumbari ya nyanya kitunguu na cucumber unanyunyiza olive oil kijiko kimoja cha chakula, nanasi na kikombe cha mchanganyiko wa nuts na glass ya maji.
Carrots zilizokatwa katwa, kachumbari ya nyanya kitunguu na cucumber unanyunyiza olive oil kijiko kimoja cha chakula, nanasi na kikombe cha mchanganyiko wa nuts na glass ya maji.
Wengine wanafanya water therapy yaani in between meals wanakunywa maji haya yanasaidia pa kutokusikia njaa.
Ukianza hivyo hutaweza kuwa na excess fat
No comments:
Post a Comment