Artikel Terbaru

Responsive Ads Here

Wednesday, March 28, 2018

Arusha Wamasai walivyotaka Kunifanya nisiwe mwanaume tena.Siwezi wasahau wale watu

Ni miaka kadhaa iliyopita tulikuwa tumesafiri kikazi kwenda arusha kwenye project flani kwa ajili ya wamasai na pia wa iraq. so tulitoka ofisini troupe ya watu kadhaa tukitumia magari mawili ya ofisi nakumbuka wanaume tulikuwa 5 na wanawake walikuwa wa 5 kati ya hao wawili ni wake za watu na wawili walikuwa wanafunzi toka Chuo wakifanya masters.

Mimi nilipewa nafasi ya kuwa mkuu wa msafara mmoja na jamaa yangu mwingine mtu mzima sana alipewa msafara mwingine.maana tulikuwa na gari mbili.kwangu nikapata bahati ya kuwa na wale mabinti watatu wa kutoka chuo na yule mzee alikuwa na wale wake za watu wawili.safri ilianza vizuri sisi wakuu wa misafara tukiwa kwanza tumekuja kuchukuliwa majumbani mwetu then tukawapitie wengine.ilikuwa mapema sana saa 10 na nusu alfajiri.hatimaye msafara wangu ukakamilika baada ya kuwapitia wale mabinti wawili walikuw hostel za mabibo mmoja main campus. tukawachukua tukaja ubungo kusubiri ule msafara mwingine. hatimaye tukawa tumeelekea arusha.

Jioni tulingia karaha tu(karatu). hapo tulikuwa tumeshatafutiwa hotel so tukafikia hotelini mpaka kesho yake ambapo tulielekea kijiji flani kwenda tu kuwapa taarifa kuwa tutaenda watembelea so kuna watu waandae mazingira then hao tukaelekea ngorongoro na serengeti vijiji kadhaa vya wamasai. tulikuwa huko tunapiga kambi.maana ni vijijini hivyo tunaenda na tents na vyakula.na ilibidi tuwe na walinzi kadhaa kwa ajili ya kutulindia kambi yetu.hivyo tulikuwa tunapewa wamasai kadhaa tunakuwa nao kambini.

Kambini kwangu nilifanikiwa kuwa napumzika na bint mmoja mwanachuo.tent yangu ilikuwa kubwa unaweza simama vizuri kabis ana kutembea ndani.so tukawa huru tu ku enjoy mle ndani. lakini wakati huo huo kumbe alikuwa anaenda kumsimulia mwenzie ambaye naye akaingia tamaa siku moja nimetoka naye na dereva tupo porini huko nikamwona tu alivyo alivyo basi nikamwingizia.alisumbua kidogo then akakubali. nikachukua gari nikaenda naye porini nikamla vizuri tukashiba.

Sasa kulikuwa wakati flani tunabadilishana wale members mimi na yule mzee.actually kwangu nilikuwa nawapa uhuru wa kunywa pombe na sometime jioni tunaenda kwenye vi grocery watu wanapiga pombe na nyama choma.yule binti niliyekuwa nalala naye akaenda akaletwa mke wa mtu na jamaa mwingine huku kwangu.mke wa mtu siku ya kwanza nilimkaribisha akaja tukapiga stories kesho yake tena, kesho kutwa yake tukawa mpaka tunalaliana pale kwenye kijigodoro.mi nikaona isiwe shida nikaomba mzigo nikapewa (nyie wenye wake wanaofanya kazi za kwenda filed au kusafiri safiri sana kuweni makini sana na wake zenu. mimi binafsi nimekula wa aina hiyo zaidi ya 7 tukiwa safarini. huwa wanakuwa weak sana na wanahitaji kampani. ukiwa mjanja na mtu unayejali unakula sana) basi ikawa nakula bila shida.

Yule mlinzi wa kimasai siku moja jioni tukiw atunaota moto huku tunapiga stories akanambia anaona jinsi ninavyocheza games nying nying kwa siku.akanambia naye alipokuwa kijana alikuwa anagonga sana.alitaka kujua natumia dawa gani. actually sikuw anatumia dawa(mi muoga sana wa daw.kula vizuri tu inasaidia) nikamwambia sina.tukabishana sana baadaye akanambia kuna dawa hiyo akinichemshia nikanywa ni balaa.sikutilia maanani after two weeks tukawa tunaondoka ile sehemu siku hiyo naondoka yule mmasai aliniletea ile dawa ninywe.ilikuwa kwenye chupa ya maji ya lita moja. ile kitu sikuinywa siku ile nilikuwa tulikuwa na safari ya kwenda karatu then keshokutwa yake tuingie huko kwa wairaq.

Basi nikiwa karatu wakati natoa vitu vyangu kwenye bag ndo kuiona ile dawa. nikajisemea tu "anyway lemme drink it kwani isipofanya kazi ntapungukiwa nini? " ilikuwa jion mida ya saa 12 tulifikia hotel ile ile ya kwanza tulipotoka dar. nikanywa ile dawa ilikuwa ni nyekundu sana inayoenda kwenye weusi. toka hapo nikaenda kula na wenzangu mchemsho wa samaki kwa sana toka mto wa mbu.nilikula sana mchesho na chapati mpaka saa mbili hivi tukarudi kila mtu kwake kwa mapumziko.

Sasa hapo nikiwa nimetoka kuoga ndo balaa lilianza nikiw animejilaza kitandani nacheck music videos.mashine ilikuwa imesimama muda lakini kadri dk zilivyokuwa hali yangu ilikuw ainazidi kuwa mbaya.kitu kilikuwa kimeenda mnara mpaka michirizi ya mishipa inaonekana kuzunguka mashine..ilikuwa nikiitizama hivi na maumivu ninayo yasikia balaa... nliamka na kwenda kumpigia simu yule mwanachuo wa kwanza kabisa. yeye kumbe alikuwa period so akanambia hatokuwa comfortable kuja kulala kwangu coz she was in period.nikamtafuta yule dada mke wa mtu yeye kumbe aliamua kulala na mwenzie naye mke wa mtu na wote tuko ofisi wote so asingeweza kuwa na excuse ya kutolala mle ndani.hapo imeshaenda saa 3 hivi na ushei.

Nikaona isiwe shida nikamtafuta yule mwanachuo wa pili niliyeanzia kufanya mapenzi naye porini.hakuwa hewani. nikakumbuka ule usemi wa "siku y akufa nyani miti yote huteleza" maumivu niliyokuw anayapata hayakuwa madogo. mashine ilikuwa imekakamaa kama mti huku michirizi ya mishipa ikionekana jinsi ilivyoshupaa.nlikuwa nasikia maumivu hasa kana kwamba inataka kupasuka.mapigo ya moyo yoooote yalihamia chini.maana nlikuw akabisa nasikia moyo ukidunda kwenye mashine.

Nilipata wazo kwenda jimwagia maji baridi.haikusaidia dhakraa ilikuwa imechachamaa inahasira ya kufa mtu.nikapata wazo la kujichua. nlitumia karibia dk 20 kucheza pool pasipo mafanikio kiasi kwamba mashine ilikuwa nyekundu na imeanza kupata michubuko.kiukweli usiku ule nilichanganyikiwa sana.mpaka saa nne kulikuwa hakuna muafaka.na hali ya karatu ilikuwa ni ya baridi.nikaona nitoke nje maana mkaa bure si sawa na mtembea bure huwenda nikaokota... ile hoteli haikuwa na wadada wa kutoa huduma ya kwanza maana pengine kwa mara ya kwanza ndo ningehitaji huduma yao usiku ule.sikufanikiwa.kiukweli yalinikuta maswahibu makubwa sana.

Nilirudi tena bafuni na this time nilipaka sabuni mperial nyingi sana mkonon karibia niimalize ile sabuni ya mle bafuni.nikaanza kucheza pool tena kama dk 40 hivi ndo ishu ilikuja kubali hapo nilivuta hisia za kila mwanamke nilyekuwa nimewahi kumdate... ndo waarabu kuja.waliposhuka tu nami nilikaa chini kwenye choo kupumzika ila nikicheki mashine bado imesimama wima kinyama.bado inataka tena maumivu yamepungua tu kiasi lakini the thing still demands another service.nikajiloweka kwenye maji baridi hapo ilishaenda mpaka saa 6 kasoro.nikakaa kwenye maji baridi.huku natokwa na machozi.nikimlaani yule mlinzi wa kimasai ambaye alinambia kuwa ile dawa inafanya kazi kweli kweli nisinywe kama sina uhakika.nilimbishia na sasa "asiyesikia la mkuu huvunjika guu"

Nilikaa kwenye maji mpaka saa 7 usiku ndo mashine kidogo ikawa imepungua kukaza.from there nikajizoa zoa na kurudi kitandani.nikiswali ile dhahma isiendelee..maana kabisa nlikuwa naona inaelekea kupasuka.kuja kupata usingizi ilikuwa saa 8 usiku. asubuh nilikuja amshwa na jamaa yangu nimechoka sana na nina maumivu makubwa sehemu yangu ya siri.sikumsimulia mtu mpka hii leo nilipokumbuka tena baada ya jana nikiwa kwenye mataa huku posta jamaa mmoja kupita dirishani akitaka kuniuzia hizo dawa za vijana za kuongeza nguvu.nilimkatalia sikutaka hata kumsikia.toka siku ile sukutaka kujaribu any dawa ya kuongeza nguvu na sitaki kabisa kusikia habari hizo. yule mmasai alitaka kuni fanya hanithi kwa kweli. maana kama mashine ingepasuka ina maana leo hii warembo wa humu JF ningekuwa nawala kwa macho tu.

Vijana achaneni na hayao madawa.sijui vumbi la kongo siju mkuyati n.k kuleni vizuri fanyeni mazoezi punguzeni pombe,sigara na madawa ya kulevya.pigeni show naturally mtaenjoy sana.

No comments:

Post a Comment