MWANAUME MMOJA ALIPATA KUANDIKA...KUHUSU WANAWAKE
1.Mwanamke ni kiumbe wa kipekee sana na inahitajika akili kubwa kumwelewa. Bahati mbaya wanaume walio wengi bado wangali hatuwaelewi wanawake.
2. Mwanamke anaweza kuuacha moyo wake nje na kisha akaolewa na mwanaume bila moyo wake kumpenda mwanaume huyo.
3. Kuna uhusiano na urafiki wa kimahaba kati ya pesa/mali na mwanamke.
4.Kwa kutumia nguvu ya uwezo wako kifedha, unaweza kuhamisha akili ya mwanamke kwa muda fulani kisha kwa fedha zako hizo hizo ukalia au zikakuua siku moja.
Ni pale akili ya mwanamke inapohitaji kutimiza haja ya moyo wake baada ya kupata mali.
5. Wanawake ndio viumbe katili zaidi katika ulimwenguni huu. Bahati mbaya hawaimbwi. Labda wamesahaulika kwenye vitabu vya kumbukumbu kwa makusudi. Mwanamke anakuua huku akitoa tabasamu.
6. Hakuna mwanaume shujaa kwa mwanamke. Yupo wapi Adolf Hittler? Mwanaume katili zaidi na aliyekuwa mbabe ndani ya ulimwenguni huu, achana na simulizi za Samson na Delila. Kifo chake nyuma kinasemwa yupo mwanamke. Nani mjanja kwa mwanamke?
7. Asilimia 89 ya vifo vya wanaume basi nyuma yake yupo mwanamke. Eeeeeh! idadi ya wanawake wajane ni wengi zaidi kuliko wanaume waliofiwa na wake zao.
8. Mwisho. Mwanamke SIO NDUGU YAKO.
Maoni yako ni yapi
1.Mwanamke ni kiumbe wa kipekee sana na inahitajika akili kubwa kumwelewa. Bahati mbaya wanaume walio wengi bado wangali hatuwaelewi wanawake.
2. Mwanamke anaweza kuuacha moyo wake nje na kisha akaolewa na mwanaume bila moyo wake kumpenda mwanaume huyo.
3. Kuna uhusiano na urafiki wa kimahaba kati ya pesa/mali na mwanamke.
4.Kwa kutumia nguvu ya uwezo wako kifedha, unaweza kuhamisha akili ya mwanamke kwa muda fulani kisha kwa fedha zako hizo hizo ukalia au zikakuua siku moja.
Ni pale akili ya mwanamke inapohitaji kutimiza haja ya moyo wake baada ya kupata mali.
5. Wanawake ndio viumbe katili zaidi katika ulimwenguni huu. Bahati mbaya hawaimbwi. Labda wamesahaulika kwenye vitabu vya kumbukumbu kwa makusudi. Mwanamke anakuua huku akitoa tabasamu.
6. Hakuna mwanaume shujaa kwa mwanamke. Yupo wapi Adolf Hittler? Mwanaume katili zaidi na aliyekuwa mbabe ndani ya ulimwenguni huu, achana na simulizi za Samson na Delila. Kifo chake nyuma kinasemwa yupo mwanamke. Nani mjanja kwa mwanamke?
7. Asilimia 89 ya vifo vya wanaume basi nyuma yake yupo mwanamke. Eeeeeh! idadi ya wanawake wajane ni wengi zaidi kuliko wanaume waliofiwa na wake zao.
8. Mwisho. Mwanamke SIO NDUGU YAKO.
Maoni yako ni yapi
No comments:
Post a Comment