Mimi ni Msichana wa Miaka 25 , Tatizo langu ni kuwa kila nikifanya
mapenzi na mvulana bila kutumia zana lazima nipate mimba, nilianza
kuwajua wanaume toka nikiwa na miaka 21 siku niliyotolewa bikira
nilipata mimba pia ikanibidi niitoe kwa vile nilikuwa nasoma ..sasa
kuanzia kipindi hicho nikifanya tu lazima nipate mimba nimeshatoa mimba
kumi na tano mpaka sasa, Nimejaribu kufuata Calender lakini wapi...Je
hili ni Tatizo ama nimelogwa ? Nimekuwa mtu wa kufanya abortion kila
wakati mpaka naogopa sasa nisije haribu kizazi changu nikashindwa kuzaa
muda muafaka wa kuwa na mtoto....................
Help pliz
Mimi Mdau ..Msinitukane jamani
Sunday, June 10, 2018
Naombeni Ushauri Kila Nikifanya Mapenzi Bila Zana Napata Ujauzito
About Anonymous
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment