Binti huyu mwenye umri wa miaka 22 anasema, maisha yake yameharibiwa na
mfumo wa homoni zake za mwili ambapo anaweza kufikia mshindo mara kwa
mara anaposikia sauti za aina fulani. Anasema sauti ya muziki, magari
yanapotembea, treni na hata milio ya simu ni kati ya vitu vinavyomfanya
kufikia hali hiyo mara kwa mara na kusababisha ashindwe kuwa huru katika
maisha yake. Wengi wanaweza wakasema kwamba anapata raha, lakini sio
kweli kwani ugonjwa huu unamtokea sehemu yoyote ambapo haustahili
kumtokea mtu wa kawaida hali ambayo kwa mujibu wake inamsababishia
karaha...Ushauri wako wahitajika Please commen
Friday, August 31, 2018
Nafika Kileleni Mara kwa Mara Naposikia Sauti za Vitu Fulani
About Anonymous
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment