Hivi Kuna nini siri kati ya hawa dada zetu ambao wamepata kuwa na
uhusiano na wazungu kisha mambo hayakwenda sawa wakachana na mzungu
mmoja...Huendaendelea kuwinda wazungu tu? Na Wengine wakiolewa huku
wakiachwa wanaona Aibu kurudi Bongo na kuishia kufanya umalaya huku
Ulaya.
Na kwanini hata akipata mswahili mwenzie mapenzi hayadumu kwa muda mrefu atarudi kwa wazungu?
Najiuliza sana ni kwanini.
Na kwanini hata akipata mswahili mwenzie mapenzi hayadumu kwa muda mrefu atarudi kwa wazungu?
Najiuliza sana ni kwanini.

No comments:
Post a Comment