Artikel Terbaru

Responsive Ads Here

Saturday, October 27, 2018

"Nimefunga Jalada la Upuuzi, Ujinga na Utoto" Wema Sepetu

Mwanadada Wema Sepetu  alipokuwa kiomba msamaha mbele ya waandishi wa habari nyumbani kwa mama yake leo. alifunguka na kuonekana mwenye kujuta juu ya kile kilichotokea  hivi karibuni baada ya video chafu kusambaa akiwa faragha na mpenzi wake.

Wema anasema kuwa kwa sasa amefunga jadala la ujinga na upuuzi katika maisha yake na ataanza kujiweka kama mtu aliyekuwa na anaetambua majukumu yake katika jamii.

Ninaomba radhi marafiki zangu,ndugu zangu na wale wote wanaonisapoti kwa ujumla.lakini zaidi namuomba msamaha mama yangu ambae amekuwa akiumia zaidi,hakuna marefu yasiyo na ncha, nimnefunga jalada la utoto , jalada la ujinga na jalada la upuuzi, naomba radhi kwa haya yaliyotokea,

Wema anasema kuwa takuwa akionekana mtu wa jabu sana kama jatoonekana kujali kwa sababu tangu siku ya tukio mpaka muda anongea hakuwa sawa kwa kila kitu.

No comments:

Post a Comment